loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Kweli k
Umeongea ukweli mtupu mkuu,na hyo ndio maana ya maisha ,yaani ishi leo,"our main business is not to see what lies dimly at distance bt to do what seemly clea in our hands," dale Carnegie.Poleni.
Maisha hayana guarantee, kwamba unachokiasisi lazima ukihitimishe, hapana.
Ukiamka na afya asubuhi, mshukuru Mungu na hako kakipande kauhai ulikojaaliwa siku hiyo kasherehekee kwa furaha na kumwaga upendo kwa wengine.
Maana haujui ya kesho, uhai ukishatoka ni milele na milele, ni infinity.