Ama kweli kisa hiki cha Nairobi Kenya, cha kijana aliyeachwa hai na gaidi kina mafunzo mengi, be nice to people you never know..!!

Ama kweli kisa hiki cha Nairobi Kenya, cha kijana aliyeachwa hai na gaidi kina mafunzo mengi, be nice to people you never know..!!

Ww umefika kenya? Umewahi kwnda eneo wanaita E3 (Islii)? Kumejaa wasomali watupu ambao ni raia wa Kenya. Kusema kweli kwa kenya suala la ugaidi ni gumu sana maana hata kwenye jeshi la kenya kuna wanajeshi wenye asili ya kisomali!

Ndugu, suala la ugaidi Kenya kutoka somalia litawasumbua sana, maana huwezi kujua yupi gaidi na yupi ni msomali mzawa wa kenya, Isitoshe yapo magaidi huenda yanapata msaada kutoka kwa wasomali wazawa wa Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
nimefika na pia najua kaskazini ya kenya na mombasa (kwa kiasi flan) kuna wasomali wengi. Najua pia wapo wakenya wengi sana wenye asili ya somalia ambao mababu zao wamezaliwa na kukulia kenya. Rudia tena kusoma nilichoandika tarattibu utaelewa
 
Kama uko serious.. Kisa kinaelezea hivI kwa tafsiri isiyo rasmi;

Kijana Reuben alikuwa ni muhudumu wa hoteli ambayo magaidi hao walikuwa wakifika mara kwa mara kujipatia kahawa na mambo mengine mpaka akazoeana nao (hakujua ni magaidi).

Sasa, pamoja na kwamba hao wateja (magaidi) kuwa wakorofi na wababe walipokuwa wakihitaji huduma, mshikaji alikuwa akiwapa huduma kwa upole na unyenyekevu ile kiroho safi.

Siku ya tukio, Reuben akiwa amelala chini na watu wengine, aliinua kichwa chake na kugonganisha macho na gaidi mmoja akamfahamu.. Gaidi akakumbuka ukarimu wa Reuben, akawaua watu wengine wote na kumuacha hai Reuben. Wema wake ulimuokoa na kifo.

Hapo vipi mkuu? Najua nimesaidia wengi.
unafaa kuwa pale magogoni kumsaidia jiwe...
 
Kama uko serious.. Kisa kinaelezea hivI kwa tafsiri isiyo rasmi;

Kijana Reuben alikuwa ni muhudumu wa hoteli ambayo magaidi hao walikuwa wakifika mara kwa mara kujipatia kahawa na mambo mengine mpaka akazoeana nao (hakujua ni magaidi).

Sasa, pamoja na kwamba hao wateja (magaidi) kuwa wakorofi na wababe walipokuwa wakihitaji huduma, mshikaji alikuwa akiwapa huduma kwa upole na unyenyekevu ile kiroho safi.

Siku ya tukio, Reuben akiwa amelala chini na watu wengine, aliinua kichwa chake na kugonganisha macho na gaidi mmoja akamfahamu.. Gaidi akakumbuka ukarimu wa Reuben, akawaua watu wengine wote na kumuacha hai Reuben. Wema wake ulimuokoa na kifo.

Hapo vipi mkuu? Najua nimesaidia wengi.
KILA MJA ANA SIKU NA SAA ALIYOPANGIWA NA MUUMBA WAKE
 
Nashukuru mkuu nimekupata.....

Navyo fahamu mm jambazi/gaidi akisha fahamu umemtambua hakuachi salama ili kuondoa ushahidi...

Hatuwezi kumhukumu huyu dogo lakini angetakiwa achunguzwe na kuhojiwa....

Kuondoa ushahidi upi wakati gaidi anajua atajilipua muda si muda?
Na kama hatajilipua,atalipuliwa?
magaidi wapo kwa ajili ya kufa na sio vinginevyo.
wanaoogopa kuacha alama ya ushahidi ni wezi ama wale waoga wasiotaka kuwahi bikira 72 peponi
 
Kuondoa ushahidi upi wakati gaidi anajua atajilipua muda si muda?
Na kama hatajilipua,atalipuliwa?
magaidi wapo kwa ajili ya kufa na sio vinginevyo.
wanaoogopa kuacha alama ya ushahidi ni wezi ama wale waoga wasiotaka kuwahi bikira 72 peponi
Dah wapelelezi wangekuwa na akili ya hitimisho kama yako, basi Tanzania ingesha tekwa na wale jamaa wa kibiti na amboni Tanga mda mrefu
 
Kisa hiki kimenikumbusha kitu, siku moja nilipanda dala dala kutoka kituo cha mabibo hostel kuelekea Tabata, kituo kilichofuata (kinaitwa extenal) alishuka mtu nikapata siti nikaketi maana gari lilikuwa level siti tulienda mbele kidogo na kituo kilochofuata (kinaitwa garage) aliingia mama mmoja mtu mzima kidogo nilisita kumpisha siti maana nlikuwa nimechoka na najihisi kuumwa pia gari likiwa bado level siti zaidi yule mama tu ndo alisimama niliona isiwe tabu ngoja nimpishe Nilimuita akaja kuketi akashukuru pia. Vituo vilivyofuata gari ilijaza abailia hakuna mfano hadi mtu inakubidi usimame na mguu moja ndio upate balance, nakumbuka kama kituo cha tano aliinuka mwingne karibu yangu nikakaa na hivyo nikawa sija loose chochote, mfukoni nilikuwa na 35,500 tu. Nikampa konda 500/= ikarudi 100.

Kisa kipo hivi Wakati nashuka ile pesa 35,000 niliiacha kwenye siti nikashuka nikiwa sina hili wala lile' niliitwa na yule mama akaniambia naona umeacha pesa yako hapa. Nikajicheki kweli sina pesa yoyote mfukoni. Nilijiuliza mara mbili mbili imekuwaje huyu pekee ndiye aliyeona hizi pesa nikakumbuka ule wema niliomfanyia haya ndiyo malipo yake.

Nilimshukuru maana nilikuwa sina kitu sio cash wala mpesa nipo mweupe nimebakia mapumbu matupu.

Kila wema hulipwa! Hujui ni lini au nani atalipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wema hauozi....
 
Back
Top Bottom