Ama kweli kisa hiki cha Nairobi Kenya, cha kijana aliyeachwa hai na gaidi kina mafunzo mengi, be nice to people you never know..!!

Ama kweli kisa hiki cha Nairobi Kenya, cha kijana aliyeachwa hai na gaidi kina mafunzo mengi, be nice to people you never know..!!

Ni kawaida shambulizi likitendeka kwenye nchi yoyote, maisha ya kila raia hubadilishwa na kunyanyuliwa juu chini, waulize Wamarekani hali ilivyokua siku chache baada ya 911
Ni kwamba usalama wa taifa huvurugwa na rais, huzomewa sana yaani ilikuaje hadi wakazembea, sasa husababisha wafanye makubwa, kusaka mlango kwa mlango.
Nimekupata jirani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaiyo jamaa alimpa gaidi na kahawa kabisa? Au mimi ndo sijaelewa Kimombo?

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Gaidi alikua akitembelea eneo lililoshambuliwa mara kwa mara kabla ya tukio hilo la kigaidi. Na hapo ndipo mhudumu huyo alipozoeana na huyo fisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa hiki kimenikumbusha kitu, siku moja nilipanda dala dala kutoka kituo cha mabibo hostel kuelekea Tabata, kituo kilichofuata (kinaitwa extenal) alishuka mtu nikapata siti nikaketi maana gari lilikuwa level siti tulienda mbele kidogo na kituo kilochofuata (kinaitwa garage) aliingia mama mmoja mtu mzima kidogo nilisita kumpisha siti maana nlikuwa nimechoka na najihisi kuumwa pia gari likiwa bado level siti zaidi yule mama tu ndo alisimama niliona isiwe tabu ngoja nimpishe Nilimuita akaja kuketi akashukuru pia. Vituo vilivyofuata gari ilijaza abailia hakuna mfano hadi mtu inakubidi usimame na mguu moja ndio upate balance, nakumbuka kama kituo cha tano aliinuka mwingne karibu yangu nikakaa na hivyo nikawa sija loose chochote, mfukoni nilikuwa na 35,500 tu. Nikampa konda 500/= ikarudi 100.

Kisa kipo hivi Wakati nashuka ile pesa 35,000 niliiacha kwenye siti nikashuka nikiwa sina hili wala lile' niliitwa na yule mama akaniambia naona umeacha pesa yako hapa. Nikajicheki kweli sina pesa yoyote mfukoni. Nilijiuliza mara mbili mbili imekuwaje huyu pekee ndiye aliyeona hizi pesa nikakumbuka ule wema niliomfanyia haya ndiyo malipo yake.

Nilimshukuru maana nilikuwa sina kitu sio cash wala mpesa nipo mweupe nimebakia mapumbu matupu.

Kila wema hulipwa! Hujui ni lini au nani atalipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisa hiki kimenikumbusha kitu, siku moja nilipanda dala dala kutoka kituo cha mabibo hostel kuelekea Tabata, kituo kilichofuata (kinaitwa extenal) alishuka mtu nikapata siti nikaketi maana gari lilikuwa level siti tulienda mbele kidogo na kituo kilochofuata (kinaitwa garage) aliingia mama mmoja mtu mzima kidogo nilisita kumpisha siti maana nlikuwa nimechoka na najihisi kuumwa pia gari likiwa bado level siti zaidi yule mama tu ndo alisimama niliona isiwe tabu ngoja nimpishe Nilimuita akaja kuketi akashukuru pia. Vituo vilivyofuata gari ilijaza abailia hakuna mfano hadi mtu inakubidi usimame na mguu moja ndio upate balance, nakumbuka kama kituo cha tano aliinuka mwingne karibu yangu nikakaa na hivyo nikawa sija loose chochote, mfukoni nilikuwa na 35,500 tu. Nikampa konda 500/= ikarudi 100.

Kisa kipo hivi Wakati nashuka ile pesa 35,000 niliiacha kwenye siti nikashuka nikiwa sina hili wala lile' niliitwa na yule mama akaniambia naona umeacha pesa yako hapa. Nikajicheki kweli sina pesa yoyote mfukoni. Nilijiuliza mara mbili mbili imekuwaje huyu pekee ndiye aliyeona hizi pesa nikakumbuka ule wema niliomfanyia haya ndiyo malipo yake.

Nilimshukuru maana nilikuwa sina kitu sio cash wala mpesa nipo mweupe nimebakia mapumbu matupu.

Kila wema hulipwa! Hujui ni lini au nani atalipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujumbe safi kabisa,kila wema hulipwa, mwingine hulipwa papo kwa papo na mwingine siku usiyoijua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawa jirani zetu sasa wanachanganyikiwa kila mmoja anaandika anachokiona
mara mwingine kapona mashambulizi yote mawili
labda hao Magaidi wanampenda kila wakimkuta wanamhusudu
acheni waaandike
Gazeti la Johari: Mwanamke aliyenusurika Kifo Mashambulizi mawili ya kigaidi Kenya
1547973071014.png
 
Kisa hiki kimenikumbusha kitu, siku moja nilipanda dala dala kutoka kituo cha mabibo hostel kuelekea Tabata, kituo kilichofuata (kinaitwa extenal) alishuka mtu nikapata siti nikaketi maana gari lilikuwa level siti tulienda mbele kidogo na kituo kilochofuata (kinaitwa garage) aliingia mama mmoja mtu mzima kidogo nilisita kumpisha siti maana nlikuwa nimechoka na najihisi kuumwa pia gari likiwa bado level siti zaidi yule mama tu ndo alisimama niliona isiwe tabu ngoja nimpishe Nilimuita akaja kuketi akashukuru pia. Vituo vilivyofuata gari ilijaza abailia hakuna mfano hadi mtu inakubidi usimame na mguu moja ndio upate balance, nakumbuka kama kituo cha tano aliinuka mwingne karibu yangu nikakaa na hivyo nikawa sija loose chochote, mfukoni nilikuwa na 35,500 tu. Nikampa konda 500/= ikarudi 100.

Kisa kipo hivi Wakati nashuka ile pesa 35,000 niliiacha kwenye siti nikashuka nikiwa sina hili wala lile' niliitwa na yule mama akaniambia naona umeacha pesa yako hapa. Nikajicheki kweli sina pesa yoyote mfukoni. Nilijiuliza mara mbili mbili imekuwaje huyu pekee ndiye aliyeona hizi pesa nikakumbuka ule wema niliomfanyia haya ndiyo malipo yake.

Nilimshukuru maana nilikuwa sina kitu sio cash wala mpesa nipo mweupe nimebakia mapumbu matupu.

Kila wema hulipwa! Hujui ni lini au nani atalipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kweli kabisa, wema huwa unalipa sana ingawa ni mara chache na ni bahati sana kwa tukio kama ambalo limemtokea huyo dogo hapo. Mimi ni shuhuda wa tukio kama hilo, linafanana kwa asilimia nyingi sana na hilo, mpaka leo naona kama ilikuwa ndoto.

Ilikuwa hivi;

Nakumbuka ilikuwa ni miaka kadhaa nyuma nikiwa mwaka wa pili Chuoni, 'tuliibana' mimi na aliyekuwa rafiki yangu wa kike kipindi kile (kwa sasa ni mke wangu) kwenda Morogoro mwishoni mwa wiki. Tulifikia kwenye hotel moja (jina kapuni - Iringa road nje kidogo ya mji) ambayo mara kwa mara tulikuwa tunafikia tukienda Morogoro.

Tulifika siku ya Ijumaa mchana na lengo ilikuwa ni kupumzika na kuondoka Jumatatu asubuhi. Tulilala usiku wa Ijumaa fresh, Jumamosi hatukushinda pale ila tulirudi usiku tukalala, siku ya Jumapili tuliamka mapema tukaenda Kanisani, sasa tuliporudi tukaishia restaurant (hii restaurant imo ndani ya hiyo hotel), kwa lengo la kupata chakula cha mchana.

Wakati tupo pale tunasubiria huduma wakaja jamaa wawili na mhudumu wa ile hotel (huyu alikuwa ni hotel manager, nakumbuka). Kwakuwa tulishakuwa wenyeji pale, yule mhudumu akatutambulisha kuwa; " hawa jamaa ni wateja wenzenu wamefika leo, kwahiyo watakuwepo hapa mpaka kesho." Tukasalimiana nao, wakaomba kampani, kukaa na sisi meza moja kwasababu (sehemu zingine zilikuwa zimejaa).

Tukapata nao chakula na stori 2,3 na utani wa hapa na pale, jamaa walikuwa wachangamfu sana, wacheshi mno sio rahisi kuwawekea mashaka kama walikuwa majambazi. Tulipomaliza kula, tulipokuwa tunalipa msosi jamaa walitukatalia, wakasema wao watalipa, na sisi tukakataa, basi baada ya mvutano wao wakalipa vyakula (vyao na vyetu) na sisi tukalipia vinywaji (vyao na vyetu).

Mmmoja wa wale jamaa alikuwa akilalamika kuwa tumbo linamuuma kabla hata ya chakula, na muda ulivyokuwa unaenda bado alikuwa akilalamika. Mimi na huyu binti (mke wangu sasa) tulitoka tukaenda town, tuliporudi tukamletea jamaa dawa za tumbo, jamaa akatushukuru sana, sisi hao tukaingia zetu chumbani tukapumzika, hiyo ilikuwa mida kama ya saa 9 jioni.

Ilipofika saa moja kama na nusu usiku tukamuagizia mhudumu msosi akatuletea chumbani, tukala tukalala. Watati nipo katikati ya usingizi nikasikia mlio kama wa mtutu wa bunduki, sijakaa sawa nikausikia mwengine, nikaamka nikamuasha mtu wangu nikamuambia kuwa mambo sio mazuri pale tulipo. Hatujakaa tena sawa, tukasikia vishindo kwa nje ya dirisha letu kama watu wanaokimbizwa, kumbe jamaa walikuwa wanawakamata wahudumu wote wa hoteli, waliwafunga kamba mikononi na miguuni na kwenda kufafungia Jikoni. (Inasemakana mpaka tukio linatokea jamaa walifikia kuwa 6 kwa idadi).

Wakabakia na yule meneja wa hotel na kumuamuru awapeleke chumba fulani na wanamhitaji mtu fulani, walimtaja kwa jina (Inasemekana kuna mteja alikuwa chumba fulani ndiyo ilikuwa target yao). Walimpata, ila walikosa wachokihitaji kwake (dau walilomkuta nalo silo walilodhamiria) wakampora na kumpiga risasi miguuni na mgongoni.

Hasira zao zikahamia kwa wateja wengine baada ya kukosa kwa jamaa, walipita chumba kimoja baada ya kingine. Mteja ambaye alikaidi kufungua Mlango jamaa walivunja wenyewe. Kila chumba walichopita walidhuru watu kwa mapanga ama risasi, Tulisikia vilio na milio ya bunduki, walipita vyumba vyote. Sasa walipofika chumbani kwetu wakavunja Mlango, sisi tulikuwa tumepiga magoti tukisali, kufumbua macho nakutana uso kwa uso na mmoja wa wa wale jamaa tuliokuwa tunakula nao mchana ameshika bastola &Kisu mkononi, alipotugundua tu akapiga risasi juu na kutoka. Nilihisi kama nilipoteza fahamu. Sikusikia kitu chochote baada ya pale, kumbe jamaa walikuwa wameshakimbia. Polisi walifika baadaye sana, (nimefupisha habari).

Kwahiyo haya mambo huwa yanatokea, tena kama sisi ingekuwa ni rahisi sana kuhusishwa na hao viumbe kumbe tulikuwa hatuwafahamu kabisa wala mipango yao kabla ya pale. Kwahiyo hata huyu dogo wa Kenya inawezekana hahusiki kwa njia yoyote. Ninaamini kabisa ni vile tulivyowathamini mchana pale kwenye msosi ndio ilikuwa pona yetu.

Jumapili njema.
 
ilitokea Morogoro na watu kuuawa
Wakabakia na yule meneja wa hotel na kumuamuru awapeleke chumba fulani na wanamhitaji mtu fulani, walimtaja kwa jina (Inasemekana kuna mteja alikuwa chumba fulani ndiyo ilikuwa target yao). Walimpata, ila walikosa wachokihitaji kwake (dau walilomkuta nalo silo walilodhamiria)
wakampora na kumpiga risasi miguuni na mgongoni.
ngumu kumeza
lkn kashigongo kazuri
 
Mkuu ni kweli kabisa, wema huwa unalipa sana ingawa ni mara chache na ni bahati sana kwa tukio kama ambalo limemtokea huyo dogo hapo. Mimi ni shuhuda wa tukio kama hilo, linafanana kwa asilimia nyingi sana na hilo, mpaka leo naona kama ilikuwa ndoto.

Ilikuwa hivi;

Nakumbuka ilikuwa ni miaka kadhaa nyuma nikiwa mwaka wa pili Chuoni, 'tuliibana' mimi na aliyekuwa rafiki yangu wa kike kipindi kile (kwa sasa ni mke wangu) kwenda Morogoro mwishoni mwa wiki. Tulifikia kwenye hotel moja (jina kapuni - Iringa road nje kidogo ya mji) ambayo mara kwa mara tulikuwa tunafikia tukienda Morogoro.

Tulifika siku ya Ijumaa mchana na lengo ilikuwa ni kupumzika na kuondoka Jumatatu asubuhi. Tulilala usiku wa Ijumaa fresh, Jumamosi hatukushinda pale ila tulirudi usiku tukalala, siku ya Jumapili tuliamka mapema tukaenda Kanisani, sasa tuliporudi tukaishia restaurant (hii restaurant imo ndani ya hiyo hotel), kwa lengo la kupata chakula cha mchana.

Wakati tupo pale tunasubiria huduma wakaja jamaa wawili na mhudumu wa ile hotel (huyu alikuwa ni hotel manager, nakumbuka). Kwakuwa tulishakuwa wenyeji pale, yule mhudumu akatutambulisha kuwa; " hawa jamaa ni wateja wenzenu wamefika leo, kwahiyo watakuwepo hapa mpaka kesho." Tukasalimiana nao, wakaomba kampani, kukaa na sisi meza moja kwasababu (sehemu zingine zilikuwa zimejaa).

Tukapata nao chakula na stori 2,3 na utani wa hapa na pale, jamaa walikuwa wachangamfu sana, wacheshi mno sio rahisi kuwawekea mashaka kama walikuwa majambazi. Tulipomaliza kula, tulipokuwa tunalipa msosi jamaa walitukatalia, wakasema wao watalipa, na sisi tukakataa, basi baada ya mvutano wao wakalipa vyakula (vyao na vyetu) na sisi tukalipia vinywaji (vyao na vyetu).

Mmmoja wa wale jamaa alikuwa akilalamika kuwa tumbo linamuuma kabla hata ya chakula, na muda ulivyokuwa unaenda bado alikuwa akilalamika. Mimi na huyu binti (mke wangu sasa) tulitoka tukaenda town, tuliporudi tukamletea jamaa dawa za tumbo, jamaa akatushukuru sana, sisi hao tukaingia zetu chumbani tukapumzika, hiyo ilikuwa mida kama ya saa 9 jioni.

Ilipofika saa moja kama na nusu usiku tukamuagizia mhudumu msosi akatuletea chumbani, tukala tukalala. Watati nipo katikati ya usingizi nikasikia mlio kama wa mtutu wa bunduki, sijakaa sawa nikausikia mwengine, nikaamka nikamuasha mtu wangu nikamuambia kuwa mambo sio mazuri pale tulipo. Hatujakaa tena sawa, tukasikia vishindo kwa nje ya dirisha letu kama watu wanaokimbizwa, kumbe jamaa walikuwa wanawakamata wahudumu wote wa hoteli, waliwafunga kamba mikononi na miguuni na kwenda kufafungia Jikoni. (Inasemakana mpaka tukio linatokea jamaa walifikia kuwa 6 kwa idadi).

Wakabakia na yule meneja wa hotel na kumuamuru awapeleke chumba fulani na wanamhitaji mtu fulani, walimtaja kwa jina (Inasemekana kuna mteja alikuwa chumba fulani ndiyo ilikuwa target yao). Walimpata, ila walikosa wachokihitaji kwake (dau walilomkuta nalo silo walilodhamiria) wakampora na kumpiga risasi miguuni na mgongoni.

Hasira zao zikahamia kwa wateja wengine baada ya kukosa kwa jamaa, walipita chumba kimoja baada ya kingine. Mteja ambaye alikaidi kufungua Mlango jamaa walivunja wenyewe. Kila chumba walichopita walidhuru watu kwa mapanga ama risasi, Tulisikia vilio na milio ya bunduki, walipita vyumba vyote. Sasa walipofika chumbani kwetu wakavunja Mlango, sisi tulikuwa tumepiga magoti tukisali, kufumbua macho nakutana uso kwa uso na mmoja wa wa wale jamaa tuliokuwa tunakula nao mchana ameshika bastola &Kisu mkononi, alipotugundua tu akapiga risasi juu na kutoka. Nilihisi kama nilipoteza fahamu. Sikusikia kitu chochote baada ya pale, kumbe jamaa walikuwa wameshakimbia. Polisi walifika baadaye sana, (nimefupisha habari).

Kwahiyo haya mambo huwa yanatokea, tena kama sisi ingekuwa ni rahisi sana kuhusishwa na hao viumbe kumbe tulikuwa hatuwafahamu kabisa wala mipango yao kabla ya pale. Kwahiyo hata huyu dogo wa Kenya inawezekana hahusiki kwa njia yoyote. Ninaamini kabisa ni vile tulivyowathamini mchana pale kwenye msosi ndio ilikuwa pona yetu.

Jumapili njema.
Dah aisee, so amazing ni same story na ya jamaa, mungu yu mwema always hata kama ulikuw Umetenda dhambi dakika moja nyuma akisema No ni No

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah aisee, so amazing ni same story na ya jamaa, mungu yu mwema always hata kama ulikuw Umetenda dhambi dakika moja nyuma akisema No ni No

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu, mi nadhani kuna maana kwa kila jambo linalotokea kwenye maisha yetu hapa duniani (tusiyachukulie powa matukio).
Kwa upande wangu hili lilikuwa kama fundisho kubwa sana, ingawa ujana ulikuwa ni maji ya moto lakini tangia siku ile sijawahi kwenda kulala iwe hotelini ama guest house (tofauti na safari za kikazi) bila sababu za msingi. Najaribu kuwaza tu, kama jamaa wangetudhuru Je, nini kingetokea? Bahati nzuri binti wa watu sikuwa namchezea, nathibitisha hilo kwa kuwa leo hii ndiye mke wangu wa ndoa.
 
Kweli kabisa mkuu, mi nadhani kuna maana kwa kila jambo linalotokea kwenye maisha yetu hapa duniani (tusiyachukulie powa matukio).
Kwa upande wangu hili lilikuwa kama fundisho kubwa sana, ingawa ujana ulikuwa ni maji ya moto lakini tangia siku ile sijawahi kwenda kulala iwe hotelini ama guest house (tofauti na safari za kikazi) bila sababu za msingi. Najaribu kuwaza tu, kama jamaa wangetudhuru Je, nini kingetokea? Bahati nzuri binti wa watu sikuwa namchezea, nathibitisha hilo kwa kuwa leo hii ndiye mke wangu wa ndoa.
Mwaka gani hii ilikuwa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maafisa wa upelelezi wamemuacha makusudi kupeleleza nyendo zake chini kwa chini kama ana close tie na magaidi usifikiri wao wajinga wamuache hivi hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom