MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Kula chuma hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameiaibisha sana tasnia ya ulaji kikombe.Story Yako inatufundisha kuwa walevi sio watu wa maanasana 😂😂😂na mnabakana tu ovyoovyo mkishalewa
Mje tu mnipige🏃🏃🏃
😀 😀 😀 utajuaje kama zimedumaa automaticallyKuna akili zimedumaa automatically ule viporo usile🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Kwa matendo,😀 😀 😀 utajuaje kama zimedumaa automatically
Huyu atakuwa aombi hela huyu?Kula chuma hiyoView attachment 2681309
Ile kujiamini kupakata zigo kiwanjani sio akili ya ulimwengu huuAmeiaibisha sana tasnia ya ulaji kikombe.
SitumiiHutumiagi pombe?
Huwa hatuelezi umma matendo yetu ya kinyang'au.Hajala kiapo huyo.Useless kabisa!Ile kujiamini kupakata zigo kiwanjani sio akili ya ulimwengu huu
Ya wehu wehu🙇Kama yapi 😀 😀 😀
We sio mzalendo; viwanda vikifungwa vitapoteza ajira za watu wangapi? Nenda kamwagilie moyo 😀 😀Situmii
Wanaume wanakufa haraka kwa kutunza vitu kwenye mioyo yao; unapoongea mwili unapumua, natamani nifike miaka 200Huwa hatuelezi umma matendo yetu ya kinyang'au.Hajala kiapo huyo.Useless kabisa!
maneenah😋Kula chuma hiyoView attachment 2681309
😂😂😂Huwa hatuelezi umma matendo yetu ya kinyang'au.Hajala kiapo huyo.Useless kabisa!
Mengine unamezea ili wanawake waamini umebeba makende imara.Wanaume wanakufa haraka kwa kutunza vitu kwenye mioyo yao; unapoongea mwili unapumua, natamani nifike miaka 200
Mkono wa kulia utaumia, kwa kufanyishwa kazi isiyo stahilimaneenah😋
oyaa hadi nimesisimkaMkono wa kulia utaumia, kwa kufanyishwa kazi isiyo stahili
Hadi ataanza kutembea Kama anafanya rap-music.Mkono wa kulia utaumia, kwa kufanyishwa kazi isiyo stahili
Kwa psychology yangu kidogo tu nikisoma first year,mabandiko Yako yanaonesha una pitia sonona japo ur pretend to be happy, bado endelea kutafuta mtu sahihi akutoe hiyo hali....😀.Wanaume wanakufa haraka kwa kutunza vitu kwenye mioyo yao; unapoongea mwili unapumua, natamani nifike miaka 200