Ama kweli mapenzi yanaondoa ufahamu

Ama kweli mapenzi yanaondoa ufahamu

Mengine unamezea ili wanawake waamini umebeba makende imara.
Kutumia 'fake ID', ina maana 'dare to speak openly'; pia ni sehemu ya watu wengine kuondolea stress kwa kupata 'real story' wengine hawapendi 'fake story'; Hii ni sehemu ya 'entertainment' ; sio kila siku kuwaza namna ya kuchimba visima vya mafuta wakati uwezo hakuna.​
 
Kwa psychology yangu kidogo tu nikisoma first year,mabandiko Yako yanaonesha una pitia sonona japo ur pretend to be happy, bado endelea kutafuta mtu sahihi akutoe hiyo hali....😀.
Sasa first year imekusaidia kuvumbua nini mpaka sasa hivi; kupika visheti au 😀😀, kula stori wewe, maisha ni mafupi
 
Kutumia 'fake ID', ina maana 'dare to speak openly'; pia ni sehemu ya watu wengine kuondolea stress kwa kupata 'real story' wengine hawapendi 'fake story'; Hii ni sehemu ya 'entertainment' ; sio kila siku kuwaza namna ya kuchimba visima vya mafuta wakati uwezo hakuna.​
You might be right at some places!Ila,usijichanue sana kama unataga.
 
😂😂Sasa wote tukinywa bia Azam embe atakunywa nani ajira za watu Kwa bahresa zitapotea😂
Wewe juisi chupa tatu humalizi; lakini kwenye mvinyo, mtu mmoja anaweza kumaliza ata kreti 3
 
Sio miaka 200 tena😂?
Watakaofika ni wale wachache wasiopenda stress; muda wa kazi ni wa kazi, muda wa kula ni wakula, na muda wa kufurahi uwe ni muda wa kufurahi; majungu tupa kule 😀😀
 
Back
Top Bottom