Ama kweli mwenye kisu kikali ndo mla nyama

Ama kweli mwenye kisu kikali ndo mla nyama

Airmanula

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
3,527
Reaction score
5,762
Kisu kikali ni tafsida tu nikimanisha kisu kikali ni chochote alichonacho mwanaume kitakachomchanganya mwanamke either pesa, mahaba, six packs, dushe kubwa, kibamia, good sex, rough sex, etc etc ..

Sasa huyu dogo calisah ma**a zake walahi amempa nini huyu bibie Vera sidika ..Ila hawa madogo wanaojifanya six packs tena wenye visura vosoft soft Hamnaga kitu ni vibamia wa kutupwa sasa wanawapataje hawa mamanzi wakali hivi jameni ..kwanini wasije kwetu wanaume wa shoka sura ngumu na mshebwedo wa haja nikiingia naye faragha shuhuli yake wiki 2 hadi navunja kitanda tena kama huyu daah walahi naenda Kenya

Embu muoneni eti dogo calisah hadi kanunuliwa gari ..ma**e walahi daaah...

Najua wale wanaume wenzangu marijali mimate inawatoka Saivi embu muoneni huyu mtoto utafikiri kachorwa...
Screenshot_20181109-115754~01.jpeg
Screenshot_20181109-115808~01.jpeg
Screenshot_20181109-115823~01.jpeg
Screenshot_20181109-120024~01.jpeg
 
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kha
Wewe tu
Eti anampa gari ..kwa shuhuli ipi hio aliyompa kwa huyo dogo..huyo hajaonja nyama wala nini na kama amempa nyama basi dogo kagusisha tu kwa juu ....eti gari ..anaacha wanaume wa shoka sura za kibandidu anaenda kwa visofti softi hivyo dah
 
Mwanamke akishajichubua, anatoka kwenye kundi la warembo!
Mkuu kujichubua kwake niseme ya kimataifa sio za wadada wengine wanatumia ma asidi unakuta sura nyeupe Ila mikono myeusi ...na sehemu nyingine nyeusi...sasa huyu mkuu unaona kabisa weupe unaanzia juu hadi kwenye vidole vya miguu ..hii natural Mzee ..hivi unaona kweli mkuu
 
Isije ikawa wanashoot video si unajua mambo ya wasanii na usanii
Usikute usikute wabongo banah hapo ni roho ya kwanini,wewe kaa kindezindezi hao watoto wa hivyo utawasikia tu
 
Kisu kikali ni tafsida tu nikimanisha kisu kikali ni chochote alichonacho mwanaume kitakachomchanganya mwanamke either pesa, mahaba, six packs, dushe kubwa, kibamia, good sex, rough sex, etc etc ..

Sasa huyu dogo calisah ma**a zake walahi amempa nini huyu bibie Vera sidika ..Ila hawa madogo wanaojifanya six packs tena wenye visura vosoft soft Hamnaga kitu ni vibamia wa kutupwa sasa wanawapataje hawa mamanzi wakali hivi jameni ..kwanini wasije kwetu wanaume wa shoka sura ngumu na mshebwedo wa haja nikiingia naye faragha shuhuli yake wiki 2 hadi navunja kitanda tena kama huyu daah walahi naenda Kenya

Embu muoneni eti dogo calisah hadi kanunuliwa gari ..ma**e walahi daaah...

Najua wale wanaume wenzangu marijali mimate inawatoka Saivi embu muoneni huyu mtoto utafikiri kachorwa...View attachment 927435View attachment 927437View attachment 927438View attachment 927439
Naona yuko na ngangaripoa
 
Kisu kikali ni tafsida tu nikimanisha kisu kikali ni chochote alichonacho mwanaume kitakachomchanganya mwanamke either pesa, mahaba, six packs, dushe kubwa, kibamia, good sex, rough sex, etc etc ..

Sasa huyu dogo calisah ma**a zake walahi amempa nini huyu bibie Vera sidika ..Ila hawa madogo wanaojifanya six packs tena wenye visura vosoft soft Hamnaga kitu ni vibamia wa kutupwa sasa wanawapataje hawa mamanzi wakali hivi jameni ..kwanini wasije kwetu wanaume wa shoka sura ngumu na mshebwedo wa haja nikiingia naye faragha shuhuli yake wiki 2 hadi navunja kitanda tena kama huyu daah walahi naenda Kenya

Embu muoneni eti dogo calisah hadi kanunuliwa gari ..ma**e walahi daaah...

Najua wale wanaume wenzangu marijali mimate inawatoka Saivi embu muoneni huyu mtoto utafikiri kachorwa...View attachment 927435View attachment 927437View attachment 927438View attachment 927439
Hahahhaa umekuuma sio
 
Back
Top Bottom