Ama kweli mwenye kisu kikali ndo mla nyama

Ama kweli mwenye kisu kikali ndo mla nyama

Kisu kikali ni tafsida tu nikimanisha kisu kikali ni chochote alichonacho mwanaume kitakachomchanganya mwanamke either pesa, mahaba, six packs, dushe kubwa, kibamia, good sex, rough sex, etc etc ..

Sasa huyu dogo calisah ma**a zake walahi amempa nini huyu bibie Vera sidika ..Ila hawa madogo wanaojifanya six packs tena wenye visura vosoft soft Hamnaga kitu ni vibamia wa kutupwa sasa wanawapataje hawa mamanzi wakali hivi jameni ..kwanini wasije kwetu wanaume wa shoka sura ngumu na mshebwedo wa haja nikiingia naye faragha shuhuli yake wiki 2 hadi navunja kitanda tena kama huyu daah walahi naenda Kenya

Embu muoneni eti dogo calisah hadi kanunuliwa gari ..ma**e walahi daaah...

Najua wale wanaume wenzangu marijali mimate inawatoka Saivi embu muoneni huyu mtoto utafikiri kachorwa...View attachment 927435View attachment 927437View attachment 927438View attachment 927439
Kumbe The Real Deal ametumika kama "VIDEO QUEEN" wimbo wa Vera.
 
Mkuu sijapendelea kuhongwa Ila nimekereka nyama nzuri kama hizo zinaenda kwa wanaume soft soft laini namna hio ..wakat wanaume wa shoka hatuonekani

Sasa mkuu umejificha huko ulipojificha mafichoni sasa unategemea Vera Sidika atakuonaje?
Haya mambo huwa yanaenda kwa kufahamiana mkuu.
Hivo uktaka kula warembo maarufu basi kuna mawili,:-
1. Hakksha nawe ni Maarufu.
(Ndege wanaofanana huruka pamoja)
2. Ama Uwe na Pesa.
(hata km huna umaarufu as long as una pesa mingi, basi utawapata tu)
 
Eti anampa gari ..kwa shuhuli ipi hio aliyompa kwa huyo dogo..huyo hajaonja nyama wala nini na kama amempa nyama basi dogo kagusisha tu kwa juu ....eti gari ..anaacha wanaume wa shoka sura za kibandidu anaenda kwa visofti softi hivyo dah
Wivu idiot
 
Back
Top Bottom