Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Naaam huyo ni mtu mmoja, weupe na makalio vinapatikana tu muda wowoteUnamaanisha huyu mweusi ndio yeye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam huyo ni mtu mmoja, weupe na makalio vinapatikana tu muda wowoteUnamaanisha huyu mweusi ndio yeye?
Tigo.Mapenzi ni ngono mkuu...kama hauamini ona dogo kanunuliwa gari ..si katafuna nyama hio unadhan nini Mzee kama sio ngono ..
say that word again Bro!Ndugu zangu tutafute pesa tu
Tafuteni pesa wazeee.Mbona wanya hawana kisu lakini wanakula nyama kirahisi tu?
Kujichubua hakuna tofautiMkuu kujichubua kwake niseme ya kimataifa sio za wadada wengine wanatumia ma asidi unakuta sura nyeupe Ila mikono myeusi ...na sehemu nyingine nyeusi...sasa huyu mkuu unaona kabisa weupe unaanzia juu hadi kwenye vidole vya miguu ..hii natural Mzee ..hivi unaona kweli mkuu
Kujichubua hakuna tofauti
Unamjua vizuri Vera..... Amejichubua kizungu sio kama dada zetu wanaojichubua kiswahili vidole vinakuwa kama ndizi za kuchomaMkuu kujichubua kwake niseme ya kimataifa sio za wadada wengine wanatumia ma asidi unakuta sura nyeupe Ila mikono myeusi ...na sehemu nyingine nyeusi...sasa huyu mkuu unaona kabisa weupe unaanzia juu hadi kwenye vidole vya miguu ..hii natural Mzee ..hivi unaona kweli mkuu
Nasisitiza hivi tutafute PESA tusay that word again Bro!
daah kajo .. kutesana huku aiseeAaaaa jamani mbona kawaida
you might be right chief!Isije ikawa wanashoot video si unajua mambo ya wasanii na usanii