Ama kweli mwenye kisu kikali ndo mla nyama

Diamond & Harmonize wamepiga sana hapo.
 
Hatulagi broiler, tunakulaga za kienyeji [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mapebz ni zaidi ya dushe kubwa elewa tu mwenzio anapenda nn wakati mwingine unangoa dem kwa kuwa tu unajua kumchekesha wakati mwingine kwa sababu tu huwa unamnunulia chupi au chokolate
 
Huyu katengeneza kila kitu,hadi mashavu ya k,acha nile vya asili vya mke wangu
 
Unamjua vera lakini?
Hiyo rangi kajibleach, hayo matkko ni surgery na mwaka jana nadhani kafanya surgery kuongeza nyama ya papuchi...hakuna natural hapo japo anavutia kwa huo mwonekano
View attachment 927522
Mamaa weeeee [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora nibaki na huyu wangu hayo ma artificial hapana kwa kweli
 
Huyo dogo ana kiwanda cha kuwapa wadada mimba nadhani vera anatafuta mtoto by now mkurugenzi kaona akafanye kazi mwenyewe kwa uhakika zaidi ila shaka yng kua campuni yake inashida mana wema hadi leo ajashika kibendi
 
Watu kama Hawa Wanatafuta Mabulula kama Nyie ili wapate Kiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…