Ama kweli mwenye kisu kikali ndo mla nyama

Kumbe The Real Deal ametumika kama "VIDEO QUEEN" wimbo wa Vera.
 
Huyo demu naye ni mzuri?..umeshamuona live?...we kweli boya
 
Mkuu sijapendelea kuhongwa Ila nimekereka nyama nzuri kama hizo zinaenda kwa wanaume soft soft laini namna hio ..wakat wanaume wa shoka hatuonekani

Sasa mkuu umejificha huko ulipojificha mafichoni sasa unategemea Vera Sidika atakuonaje?
Haya mambo huwa yanaenda kwa kufahamiana mkuu.
Hivo uktaka kula warembo maarufu basi kuna mawili,:-
1. Hakksha nawe ni Maarufu.
(Ndege wanaofanana huruka pamoja)
2. Ama Uwe na Pesa.
(hata km huna umaarufu as long as una pesa mingi, basi utawapata tu)
 
Eti anampa gari ..kwa shuhuli ipi hio aliyompa kwa huyo dogo..huyo hajaonja nyama wala nini na kama amempa nyama basi dogo kagusisha tu kwa juu ....eti gari ..anaacha wanaume wa shoka sura za kibandidu anaenda kwa visofti softi hivyo dah
Wivu idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…