Ama kweli uchawi upo, hivi kweli Kibu Denis ni wakupewa namba Simba?

Ama kweli uchawi upo, hivi kweli Kibu Denis ni wakupewa namba Simba?

Daa Kibunenga sijui kakumbwa na nini msimu huu. Mwaka jana ndio alikuwa tegemeo pale kwenye safu ya ushambuliaji Simba ila msimu huu kila siku kiwango kinaporomoka kwa kasi sana.

Sakho naye hata haeleweki akicheza vizuri mchezo mmoja unaona kama vile Sakho anaanza kurudi upya mtazame mechi ijayo anakuwa hovyo. Hawa wachezaji wawili sijui wamekumbwa na nini msimu huu.
Waluguru wa simba,pale simba maseremala wengi sana mkuu.Naskiaga tu lakini
 
Me nimewasikia mashibiki wa simba leo bora aingizwe BOKO , KIBU anaruka ruka tu nilibakia kucheka tu
Hao ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu! Maana hawaeleweki huwa wanataka nini! Siku Kibu Denis huyo huyo akicheza vizuri, watamsifia mpaka utashangaa!

Huyo Boko wanayetaka aingie, kila siku wanamtukana humu jukwaani pamoja wenzake akina Mkude, na Erasto Nyoni!
 
Hao ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu! Maana hawaeleweki huwa wanataka nini! Siku Kibu Denis huyo huyo akicheza vizuri, watamsifia mpaka utashangaa!

Huyo Boko wanayetaka aingie, kila siku wanamtukana humu jukwaani pamoja wenzake akina Mkude, na Erasto Nyoni!
😁😁😁😁
 
Naburudika sana ninapoona Makolokolo yanatafutana mitandaoni kwa matusi kedekede tokana na wachezaji wao [emoji16]
Hawa wapate tu sare au wafungwr! Utawaona wanavyo tukana wachezaji na makocha wao!
Wakishinda sasa!! Siyo sifa hizo kwa watu hao hao!! 😃
 
Kibu hiyo namba yako muachie Boko achana na mpira Kauze hata mitumba Karume Kama uraia tayari ushapata.
 
Ukiwa unajua mpira huwezi kuongea maneno hayo,hayo maneno ni ya mashabiki wa matokeo na sio mashabiki wa soka.
 
Kibu katukosesha goli la wazi Leo...
Tatizo lake anaambiwa kila siku na anashindwa kukaa chini na kufanyia kazi.
Kibu akifika golini yeye ni kuuputa mpira tu huku kafumba macho au anaangalia chini.

Kama anasoma humu aangalie goli la John Boko la tatu.
Boko kabla ya kupiga aliangalia goli, alimwangalia Golikipa akachagua pa kuupeleka mpira akafunga.

Angakuwa Kibu Di angauputa tu mpira na asingefunga, ama angamlenga kipa audake kama alivyofanya alipobaki yeye na kipa na akakosa, au angeupaisha.

KIBU DENNISI kabla ya kupiga mpira golini mwangalie golikipa, liangalie goli ndio ujue uupige wapi mpira wako.
Hivi huangalii video zako baada ya mchezo ?

Kwanini hujirekebishi ?
Goli ulilokosa Boko angafunga na uzee wake.
Chama anafunga mata nyingi tu.
Wewe ndio mshambuliaji kijana wa Simba na umri unakuruhusu, hujiulizi una magoli mangapi hadi sasa ?

Umekosa magoli mangapi na kwanini hasa.
Babu Boko angecheza mechi ulizocheza angakuwa na magoli mengi zaidi kwa sasa.

Kibu kama utaendelea hivyo hutaki kujirekebisha huu ni mkataba wako ni wa mwisho Simba.
Huna msaada kwa timu, hebu fanya mazoezi binafsi ya kufunga goli ili uache hizo papara zako

Hakuna mdau wa Simba anayefurahia jinsi unavyo ikosesha timu magoli mengi ya wazi kabisa.

Wanakushinda hata mabeki akina Kapombe na Shabalala kwa uwezo wa kufunga magoli...!

Hii ni aibu sana kwako Kibu.

Hebu toa hayo Marasta yako naona ukiwa uwanjani unafikiria jinsi ya kuzipanga nywele zako badala ya kuwa makini na majukumu yako.

Kibu huitendei haki Simba wala Wadau wa Simba waliokuamini na kukupa majukumu.

Fanya mazoezi binafsi ya kufunga usimtegemee kocha.
Akina Messi unaosikia wanafunga wanajifua sana na mazoezi Binafsi, Shabala, Kapombe na hata Chama wanafanya zana mazoezi Binafsi kwao ndio yanayo wafanya wawe bora.

Hakuna mshabiki wa Simba kwa sasa anakuwa na furaha akikuona umeanza First Eleven.

Hii ni changamoto kwako ya kuifanyia kazi haraka sana, la sivyo utakuja kupigwa na chupa za maji muda sio mrefu.

Nipo nimekaa hapa.
 
Tatizo lake anaambiwa kila siku na anashindwa kukaa chini na kufanyia kazi.
Kibu akifika golini yeye ni kuuputa mpira tu huku kafumba macho au anaangalia chini.

Kama anasoma humu aangalie goli la John Boko la tatu.
Boko kabla ya kupiga aliangalia goli, alimwangalia Golikipa akachagua pa kuupeleka mpira akafunga.

Angakuwa Kibu Di angauputa tu mpira na asingefunga, ama angamlenga kipa audake kama alivyofanya alipobaki yeye na kipa na akakosa, au angeupaisha.

KIBU DENNISI kabla ya kupiga mpira golini mwangalie golikipa, liangalie goli ndio ujue uupige wapi mpira wako.
Hivi huangalii video zako baada ya mchezo ?

Kwanini hujirekebishi ?
Goli ulilokosa Boko angafunga na uzee wake.
Chama anafunga mata nyingi tu.
Wewe ndio mshambuliaji kijana wa Simba na umri unakuruhusu, hujiulizi una magoli mangapi hadi sasa ?

Umekosa magoli mangapi na kwanini hasa.
Babu Boko angecheza mechi ulizocheza angakuwa na magoli mengi zaidi kwa sasa.

Kibu kama utaendelea hivyo hutaki kujirekebisha huu ni mkataba wako ni wa mwisho Simba.
Huna msaada kwa timu, hebu fanya mazoezi binafsi ya kufunga goli ili uache hizo papara zako

Hakuna mdau wa Simba anayefurahia jinsi unavyo ikosesha timu magoli mengi ya wazi kabisa.

Wanakushinda hata mabeki akina Kapombe na Shabalala kwa uwezo wa kufunga magoli...!

Hii ni aibu sana kwako Kibu.

Hebu toa hayo Marasta yako naona ukiwa uwanjani unafikiria jinsi ya kuzipanga nywele zako badala ya kuwa makini na majukumu yako.

Kibu huitendei haki Simba wala Wadau wa Simba waliokuamini na kukupa majukumu.

Fanya mazoezi binafsi ya kufunga usimtegemee kocha.
Akina Messi unaosikia wanafunga wanajifua sana na mazoezi Binafsi, Shabala, Kapombe na hata Chama wanafanya zana mazoezi Binafsi kwao ndio yanayo wafanya wawe bora.

Hakuna mshabiki wa Simba kwa sasa anakuwa na furaha akikuona umeanza First Eleven.

Hii ni changamoto kwako ya kuifanyia kazi haraka sana, la sivyo utakuja kupigwa na chupa za maji muda sio mrefu.

Nipo nimekaa hapa.
Mkuu umemaliza Kila kitu huyo jamaa ni mpuuzi sana anaifanya Simba idharaulike kisa upuuzi wake.
 
Hata Mie naamini, huyu Kibu atakua na kamati nzito mnooo
Kibu uwezo ni mdogo mnooo, ajabu anacheza huku wachezaji wenye vipaji wanakaa benchi
 
Back
Top Bottom