ama kweli 'ukipenda huoni kengeza'

ama kweli 'ukipenda huoni kengeza'

Polisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
2,082
Reaction score
642
168616_123854807681503_100001709543243_129785_4876317_n.jpg

Wakuu nimetafuta neno zuri la kuelezea picha hii nimekosa. ila kwa kifupi hawa ni mke na mume. Hapa kuna kupenda au ni ule usemi wa 'hapendwi mtu'?
 
Ngoja nikalalee.......hii picha ngumu kumesa.....
 
168616_123854807681503_100001709543243_129785_4876317_n.jpg

Wakuu nimetafuta neno zuri la kuelezea picha hii nimekosa. ila kwa kifupi hawa ni mke na mume. Hapa kuna kupenda au ni ule usemi wa 'hapendwi mtu'?

Haiwezekani! nasemahivi haiwezekani, mdogo wangu koku, eti huyu ndo shemeji yangu au nimesikia vibaya?
 
may be. But it also happen
Kwahiyo unajaribu kusema kuna watu hawastahili kupendwa kwasababu we unaona sio wazuri wa sura?Kumbuka 'UZURI WA KITU UKO KWENYE MACHO YA MTAZAMAJI' kwahiyo kizuri chako kinaweza kisiwe changu...na kizuri changu sio lazima kiwe chako!
 
Back
Top Bottom