Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

Afu mkuu nisaidie kitu na unitajie ni sehemu gani mwaka 1998 majeshi ya Zimbabwe yaliyashinda majeshi ya Rwanda.....ebu tukumbushe hiyo battle ilifanyika eneo gani na ZDF walitumia aina gani za ndege kuwashinda hao wanyarwanda.......???
Maana tulikuepo kule mwaka 1998 na mzee wetu wa UDSM Profesa Dia Wamba na tulishuudia yote mpaka fierce battle ya Kisangani.
Ambapo tulicount maiti 600 wa wanajeshi wa Rwanda na maiti 248 za wanajeshi wa UPDF.
Na maiti za raia 1900 wasiokua na hatia.......!!!!!
kumbe wanajeshi 600 ndo walikua wa rwanda sasa mbona ile vita uganda alishindwa
 
Wewe ni bure kabisa, story zako zoote ni za uzushi mtupu, umeng'ang'ania eti ulikuwa mnunuzi wa dhahabu duuu! Mfanyabiashara ya dhahabu ndani ya JF, hio ndio umeona mbinu ya kudanganya watu kwamba unaifahamu Congo, bure kabisa. Hayo majarida na magazeti unayo yatajataja ndio yapi hayo? mimi siyajui, isijekuwa ndio source zako maana story imekuwa moja tuu, eti natafuta maisha kwa kununua dhahabu. Kwenye battle field na biashara ya dhahabu wapi na wapi. Kijana sina muda wa kubishana na wewe tena ila kwa taarifa yako hapa unaongea na veterani wa operetion Kitona alietua na ndege ya pili. Japo nimekwisha staafu lakini nafahamu mengi kuhusu huu mgogoro, nafuatilia kwa karibu sana na nina vyanzo vya habari kutoka kwa wahusika wenyewe waliopo front line. Right now kuna mambo mengi sana mnafichwa kwani ni siri za kijeshi, especially habari zinazo husiana na hivi vikosi vyote vinavyopigana huko iwe ni M23, Wagner, Burundi, Wazalendo, Fardc,Fdlr,Sa,Tz,Ml I have more information and accurate ones about what is going on in congo, kwa bahati mbaya sana humu jf watu wengi ni mashabiki tuu, na watu wa ma sentiment, Hatufanyi hata simple analysis.
Kwamba Kwa sasa M23 wanapigika, lakini taarifa hatupewi, ila M23 walipata gari la deraya au ya kivita wanapiga kelele na kuonyesha umma, ili familia za wanajeshi wa kigeni wapige kelele ili waondolewe huko
 
Lakini hebu jiulize, SADC wako wapi? Mbona kimyaaa? Fuatilia kwa makini mambo sio mazuri. Sasa hivi ni Diplomasia inafanya kazi kwani mbu katua kwenye korodani.
Mwizi anakimbizwa kimya kimya, Mwizi sasa hivi ndio mwenye kupiga kelele, sijui wamepiga watoto na akinamama, sijui wana wa support genocide forces
 
Back
Top Bottom