Wewe ni bure kabisa, story zako zoote ni za uzushi mtupu, umeng'ang'ania eti ulikuwa mnunuzi wa dhahabu duuu! Mfanyabiashara ya dhahabu ndani ya JF, hio ndio umeona mbinu ya kudanganya watu kwamba unaifahamu Congo, bure kabisa. Hayo majarida na magazeti unayo yatajataja ndio yapi hayo? mimi siyajui, isijekuwa ndio source zako maana story imekuwa moja tuu, eti natafuta maisha kwa kununua dhahabu. Kwenye battle field na biashara ya dhahabu wapi na wapi. Kijana sina muda wa kubishana na wewe tena ila kwa taarifa yako hapa unaongea na veterani wa operetion Kitona alietua na ndege ya pili. Japo nimekwisha staafu lakini nafahamu mengi kuhusu huu mgogoro, nafuatilia kwa karibu sana na nina vyanzo vya habari kutoka kwa wahusika wenyewe waliopo front line. Right now kuna mambo mengi sana mnafichwa kwani ni siri za kijeshi, especially habari zinazo husiana na hivi vikosi vyote vinavyopigana huko iwe ni M23, Wagner, Burundi, Wazalendo, Fardc,Fdlr,Sa,Tz,Ml I have more information and accurate ones about what is going on in congo, kwa bahati mbaya sana humu jf watu wengi ni mashabiki tuu, na watu wa ma sentiment, Hatufanyi hata simple analysis.