Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

80% ya Wananchi wa Rwanda ni Wahutu.

nchi kama Tanzania zinatumia Hekima kudeal na Rwanda, tungeamua kutumia Silaha ya Ukabila tungewachukua hao Waasi wa Kihutu na kuwapea Mafunzo kigoma na Kagera, kama Rwanda Mwanaume angejaribu aone, the same approach tulifanya Uganda, Iddi Amini alipojichanganya tu mzikia akausoma
Yaani hadithi za Idi Amini za karne iliyopita mpaka leo ndio reference, pole sana. Sasa unaposema Rwanda angejaribu aone.....atajaribu nini wakati hamjatoa hayo mafunzo. Achana na story za sentients wewe nanga.
 
Mkuu kumbe unasoma makala za watu na hujawahi kuishi Rwanda au Burundi au Zaire....!!!!Kama hujawahi kua battle front bas tusijadiliane........mm nimeshuhudia battle 17 kati ya waangola na wazimbabwe dhidi ya wanyarwanda na waganda....maeneo tofauti tofauti ya zaire.........nimekuuliza kumbe wewe unasoma vijarida tu mkuu!!!
Halafu wewe juha kweli kweli, hujui lolote nimekwisha kugundua. Kwa taarifa yako hiyo vita kati ya DRC/Angola/Zimbabwe etc vs Rwanda, Uganda ilikuwa ni jina tu hawakushiriki kikamilifu walijiegesha tu, kwani walipeleka platoon moja ya Mizinga na haikupigana hata siku moja boss wao M7 mwenyewe alikuwa amekwepa kuingia vitani akitaka Rwanda ipigwe na kwasababu hiyo hicho ki platoon chake cha askari 31 hakikurusha hata kombola moja. Hiyo Vita kwa taarifa yako ilikuwa heavy haijawahi kutokea labda kwenye WWI&II. Anyway Rwanda iribidi ifanye withdraw kupitia Angola through Maquela de Zombo ni baada ya kuzidiwa kwa vifaa na Manpower kwani Supply yao ilikuwa mbali sana zaidi ya 2000km wakati wapinzani wao walikuwa wanaingiza askari na vifaa kwa ma mia na maelfu from just across the boarder. At one point the manpower ratio wa 1:120. Pamoja na hayo Withdraw ya Rwandan forces ilikuwa out of this World. Anyway kuingia kwa Angola na Zimbabwe kwa upande wa DRC hakukutarajiwa na ndio ili wasimamisha Rwanda kuchukua DRC kwa mara nyingine tena na changamoto ilikuwa distance kutoka home base. So Angola na Zimbabwe wanaujua fika muziki wa RDF.

Eti umeshuhudia battle 17, zawapi hizo? Kitona, Njili, Pweto, Maquela de Zombo. Unadakia dakia tu kila kitu hata usivyovijua. Njoo tukupe script nzima hapa maveterans wa Operation Kitona.
 
Ni kirusi kwa taifa letu.
Kuna watanzania wenye asili za mataifa mangapi nchi hii kuacha wanyarwanda? Tuna wahindi , warabu , wasomali , waingerrza na wengi wenginee kwanini iwe tu wanyarwanda. Naona hio sumu uliyomezeshwa kwa hawa binadamu wenzetu kali sana. Tuishi kwa upendo hii dunia ya Mungu sioni sababu ya kumchukia mtu bila sababu. Personally ukiulizwa wewe mnyarwanda amewahi kukufanyia jambo gani baya unaweza kuwa na jawabu?
 
Mh Kikwete aliwazima ndani ya siku moja ni kwamba tu watu hawajaamua
Lakini hii story eti Kikwete aliwazima inapendwa kweli kweli humu ndani ya JF. But huwa nashangaa kama aliwazima sasa wametokea wapi tena. Hivi vita gani utashinda na kumzima adui yako kisawasawa kama tunavyojigamba lakini usiweze kamata mateka hata askari mmoja, usiweze kuonyesha hata maiti moja, usiweze hata kukamata silaha zao.... Hebu jaribu ku tafakari uondoe ushabiki, A Total Military defeat bila kukamata salaha za adui au askari wake wote au basi sehemu kubwa ya hao Askari. What happened jamaa wa M23 walipotea tu na silaha zao zote zikiwa intact. wakisubiri muda muafaka wakurudi tena wakiwa wamejiaandaa na kujizatiti barabara wakijua fika nguvu za adui. Ndio maana sasa hivi wako vizuri na wanachachafya kweli kweli, Mbona sasa vikosi vile vile vya TZ SA, Malawi wanashindwa kuwapiga tena? Ina maana wanawaonea huruma? Kwani ndicho kilichowapeleka? Wameshindwa kuwanyanganya hata ka mji kamoja, Sana sana wanaishia kuwa squeezed ndani ya Goma. Hebu tusubiri tuone maana sasa wameletwa black what sijui!
 
Lakini hii story eti Kikwete aliwazima inapendwa kweli kweli humu ndani ya JF. But huwa nashangaa kama aliwazima sasa wametokea wapi tena. Hivi vita gani utashinda na kumzima adui yako kisawasawa kama tunavyojigamba lakini usiweze kamata mateka hata askari mmoja, usiweze kuonyesha hata maiti moja, usiweze hata kukamata silaha zao.... Hebu jaribu ku tafakari uondoe ushabiki, A Total Military defeat bila kukamata salaha za adui au askari wake wote au basi sehemu kubwa ya hao Askari. What happened jamaa wa M23 walipotea tu na silaha zao zote zikiwa intact. wakisubiri muda muafaka wakurudi tena wakiwa wamejiaandaa na kujizatiti barabara wakijua fika nguvu za adui. Ndio maana sasa hivi wako vizuri na wanachachafya kweli kweli, Mbona sasa vikosi vile vile vya TZ SA, Malawi wanashindwa kuwapiga tena? Ina maana wanawaonea huruma? Kwani ndicho kilichowapeleka? Wameshindwa kuwanyanganya hata ka mji kamoja, Sana sana wanaishia kuwa squeezed ndani ya Goma. Hebu tusubiri tuone maana sasa wameletwa black what sijui!
Daah umeelezea vizuri sana ila sisi watanzania wengi hatuja take time kufanya ufuatiliaji wa huu mgogoro. Kujua kiini na tatizo la msingi lipo wapi? Tunatakiwa kufanya nini kutatua mzozo? Vita siyo suluhisho maana Rais wa Congo anatafuta muafaka kwa kuwakataa raiyaa wa Congolese nyarwanda speaking communities. Whitish wrong. Hataki majadiliano basi hawana namna zaidi ya kujilinda na kujitetea.
 
Halafu wewe juha kweli kweli, hujui lolote nimekwisha kugundua. Kwa taarifa yako hiyo vita kati ya DRC/Angola/Zimbabwe etc vs Rwanda, Uganda ilikuwa ni jina tu hawakushiriki kikamilifu walijiegesha tu, kwani walipeleka platoon moja ya Mizinga na haikupigana hata siku moja boss wao M7 mwenyewe alikuwa amekwepa kuingia vitani akitaka Rwanda ipigwe na kwasababu hiyo hicho ki platoon chake cha askari 31 hakikurusha hata kombola moja. Hiyo Vita kwa taarifa yako ilikuwa heavy haijawahi kutokea labda kwenye WWI&II. Anyway Rwanda iribidi ifanye withdraw kupitia Angola through Maquela de Zombo ni baada ya kuzidiwa kwa vifaa na Manpower kwani Supply yao ilikuwa mbali sana zaidi ya 2000km wakati wapinzani wao walikuwa wanaingiza askari na vifaa kwa ma mia na maelfu from just across the boarder. At one point the manpower ratio wa 1:120. Pamoja na hayo Withdraw ya Rwandan forces ilikuwa out of this World. Anyway kuingia kwa Angola na Zimbabwe kwa upande wa DRC hakukutarajiwa na ndio ili wasimamisha Rwanda kuchukua DRC kwa mara nyingine tena na changamoto ilikuwa distance kutoka home base. So Angola na Zimbabwe wanaujua fika muziki wa RDF.

Eti umeshuhudia battle 17, zawapi hizo? Kitona, Njili, Pweto, Maquela de Zombo. Unadakia dakia tu kila kitu hata usivyovijua. Njoo tukupe script nzima hapa maveterans wa Operation Kitona.
Maelezo.....meengi.......umeyatoa kwenye majarida na makala.......yawezekana 1997 mpaka 1999 ulikua primary school!!!!
Sasa sisi tuliokuwepo tunanunua kimagendo dhahabu kwa wanajeshi wa UPDF na RDF na Banyamulenge mjini Kisangani 1998 tusemeje????
Sisi tuliokua nyuma ya wanyarwanda na waganda na waasi wa kikongomani wakati wanajaribu kuisogelea kwa mara ya pili kinshasa 1998 baada ya kugombana na kabila tusemeje????
TATIZO LENU MADOGO WA JF MNAONGELEA ZAIRE ILA HAMJAWAHI KUISHI HUKO ZAIDI YA KUADITHIWA.......NA KUSOMA MAGAZETINI!!!
SISI TUMESHUHUDIA VITA KWA MACHO KUANZIA GOMA,UVIRA,BUKAVU,KISANGANI MPAKA MITAA YA KINSHASA.
 
Lakini hii story eti Kikwete aliwazima inapendwa kweli kweli humu ndani ya JF. But huwa nashangaa kama aliwazima sasa wametokea wapi tena. Hivi vita gani utashinda na kumzima adui yako kisawasawa kama tunavyojigamba lakini usiweze kamata mateka hata askari mmoja, usiweze kuonyesha hata maiti moja, usiweze hata kukamata silaha zao.... Hebu jaribu ku tafakari uondoe ushabiki, A Total Military defeat bila kukamata salaha za adui au askari wake wote au basi sehemu kubwa ya hao Askari. What happened jamaa wa M23 walipotea tu na silaha zao zote zikiwa intact. wakisubiri muda muafaka wakurudi tena wakiwa wamejiaandaa na kujizatiti barabara wakijua fika nguvu za adui. Ndio maana sasa hivi wako vizuri na wanachachafya kweli kweli, Mbona sasa vikosi vile vile vya TZ SA, Malawi wanashindwa kuwapiga tena? Ina maana wanawaonea huruma? Kwani ndicho kilichowapeleka? Wameshindwa kuwanyanganya hata ka mji kamoja, Sana sana wanaishia kuwa squeezed ndani ya Goma. Hebu tusubiri tuone maana sasa wameletwa black what sijui!
Dogo kama hujui tuulize sisi tunaowafahamu kiundani wanyarwanda......Kikawaida... ....M23 ni jeshi la akiba la RDF.....wakizidiwa waga wanavuka mpaka na kuingia rwanda kujipanga upya.
Kama hujawahi kuishi Zaire zaidi ya kusoma makala na vijarida.....usijifanye mjuaji...!!!
Utachekwa dogo........sisi 1998 tupo kisangani.......ww ulikua huko Tanzania unadeka deka.......kwa wazazi wako.....afu unataka kudanganya watu hapa JF unaijua Zaire kuliko sisi wandewa???
Mm binafsi nimeshuudia battle 17 mwaka huo pekee wa 1998....utaniambia nn dogo???
 
Daah umeelezea vizuri sana ila sisi watanzania wengi hatuja take time kufanya ufuatiliaji wa huu mgogoro. Kujua kiini na tatizo la msingi lipo wapi? Tunatakiwa kufanya nini kutatua mzozo? Vita siyo suluhisho maana Rais wa Congo anatafuta muafaka kwa kuwakataa raiyaa wa Congolese nyarwanda speaking communities. Whitish wrong. Hataki majadiliano basi hawana namna zaidi ya kujilinda na kujitetea.
Kuna sababu kwanini banyamulenge hawaonekani kama raia wa DRC.......nenda kivu kusini au kivu kaskazini utajua
 
Halafu wewe juha kweli kweli, hujui lolote nimekwisha kugundua. Kwa taarifa yako hiyo vita kati ya DRC/Angola/Zimbabwe etc vs Rwanda, Uganda ilikuwa ni jina tu hawakushiriki kikamilifu walijiegesha tu, kwani walipeleka platoon moja ya Mizinga na haikupigana hata siku moja boss wao M7 mwenyewe alikuwa amekwepa kuingia vitani akitaka Rwanda ipigwe na kwasababu hiyo hicho ki platoon chake cha askari 31 hakikurusha hata kombola moja. Hiyo Vita kwa taarifa yako ilikuwa heavy haijawahi kutokea labda kwenye WWI&II. Anyway Rwanda iribidi ifanye withdraw kupitia Angola through Maquela de Zombo ni baada ya kuzidiwa kwa vifaa na Manpower kwani Supply yao ilikuwa mbali sana zaidi ya 2000km wakati wapinzani wao walikuwa wanaingiza askari na vifaa kwa ma mia na maelfu from just across the boarder. At one point the manpower ratio wa 1:120. Pamoja na hayo Withdraw ya Rwandan forces ilikuwa out of this World. Anyway kuingia kwa Angola na Zimbabwe kwa upande wa DRC hakukutarajiwa na ndio ili wasimamisha Rwanda kuchukua DRC kwa mara nyingine tena na changamoto ilikuwa distance kutoka home base. So Angola na Zimbabwe wanaujua fika muziki wa RDF.

Eti umeshuhudia battle 17, zawapi hizo? Kitona, Njili, Pweto, Maquela de Zombo. Unadakia dakia tu kila kitu hata usivyovijua. Njoo tukupe script nzima hapa maveterans wa Operation Kitona.
Sasa nani juha????
Wewe ambae umeadithiwa na kusoma vijarida na makala....au mimi ambae mwaka 1998 nilikua Kisangani natafuta maisha kwa kununua dhahabu za magendo......na ninasaidia kutoa maiti barabarani za wanajeshi wa pande zote mbili na za raia.......baada ya kutelekezwa na kila upande......wakati huo 1998. wewe upo primary au secondary?????
 
Lakini hii story eti Kikwete aliwazima inapendwa kweli kweli humu ndani ya JF. But huwa nashangaa kama aliwazima sasa wametokea wapi tena. Hivi vita gani utashinda na kumzima adui yako kisawasawa kama tunavyojigamba lakini usiweze kamata mateka hata askari mmoja, usiweze kuonyesha hata maiti moja, usiweze hata kukamata silaha zao.... Hebu jaribu ku tafakari uondoe ushabiki, A Total Military defeat bila kukamata salaha za adui au askari wake wote au basi sehemu kubwa ya hao Askari. What happened jamaa wa M23 walipotea tu na silaha zao zote zikiwa intact. wakisubiri muda muafaka wakurudi tena wakiwa wamejiaandaa na kujizatiti barabara wakijua fika nguvu za adui. Ndio maana sasa hivi wako vizuri na wanachachafya kweli kweli, Mbona sasa vikosi vile vile vya TZ SA, Malawi wanashindwa kuwapiga tena? Ina maana wanawaonea huruma? Kwani ndicho kilichowapeleka? Wameshindwa kuwanyanganya hata ka mji kamoja, Sana sana wanaishia kuwa squeezed ndani ya Goma. Hebu tusubiri tuone maana sasa wameletwa black what sijui!
Dogo ulivyo na akili fupi za kusoma majarida afu unajifanya mjuaji.....unawapangia wanajeshi wa JWTZ cha kufanya???
Eti wapige picha maiti au waonyeshe mateka?????
Tatizo unajifanya mjuaji ila hujawahi kuona frontline battle za vita vya Zaire...ndio maana unauliza maswali ya kitoto""KAMA ETI WANAJESHI WA JWTZ WAPIGE PICHA MAITI WAKUONYESHE"""
Waulize wanajeshi wa kinyarwanda wa RDF na M23 kilichowakuta baada ya kutaka battle na JWTZ.......!!!!
Kama 1998 mm nipo kisangani afu ww upo kwa wazazi wako unadeka deka.....utaniambia nn kuhusu DRC,mndewa kama mimi wa chaka kwa chaka????
 
Sasa nani juha????
Wewe ambae umeadithiwa na kusoma vijarida na makala....au mimi ambae mwaka 1998 nilikua Kisangani natafuta maisha kwa kununua dhahabu za magendo......na ninasaidia kutoa maiti barabarani za wanajeshi wa pande zote mbili na za raia.......baada ya kutelekezwa na kila upande......wakati huo 1998. wewe upo primary au secondary?????
Dah noma..98 hiyo braza naona hata aibu kusema nilikua wapi.😂
 
Kuna sababu kwanini banyamulenge hawaonekani kama raia wa DRC.......nenda kivu kusini au kivu kaskazini utajua
Hakuna sababu. Nikuulize swali hivi wamasai wa kwenya na wamasai wa Tanzania inawezekanaje nchi moja ikatae na kusema siyo raia? Kwa sababu ya mipaka ya nchi? Nani alichagua kuwa mmasai wa Kenya na nani alichagua kuwa masai wa Tanzania?
 
Hakuna sababu. Nikuulize swali hivi wamasai wa kwenya na wamasai wa Tanzania inawezekanaje nchi moja ikatae na kusema siyo raia? Kwa sababu ya mipaka ya nchi? Nani alichagua kuwa mmasai wa Kenya na nani alichagua kuwa masai wa Tanzania?
Kuna sababu......na sababu ni ukabila......kati ya jamii za wakongo na jamii za kinyarwanda......Ukabila na ujinga ndio sababu
 
Back
Top Bottom