Amani isiyokuwa na faida ni sawa na matusi!

Amani isiyokuwa na faida ni sawa na matusi!

Aliye kwambia nina madeni ni nani?

Unaleta Viroja vyako vya kipumbavu badala ya hoja.

Acha kujichekesha kama fala.

Unadhani mimi ni kapuku kama wewe chawa?

Una kurupuka huko kuja ku quote watu unaingiza Shobo zako za kipumbavu za kichawa chawa.

Tafuta kazi wewe uachage uchawa.
Relax bas gentleman,
punguza makasiriko, lakini bila madeni hutoboi kirahisi kamanda, komaa yataisha tu 🤣
 
Hongereni kwa kuandika ukweli jamani. Mungu awabariki. Kiukweli hali ya maisha Tanzania ni mbayaaa,watu wengi wana dhiki kubwaa huku wachache wakineemeka.
 
Back
Top Bottom