Relax bas gentleman,Aliye kwambia nina madeni ni nani?
Unaleta Viroja vyako vya kipumbavu badala ya hoja.
Acha kujichekesha kama fala.
Unadhani mimi ni kapuku kama wewe chawa?
Una kurupuka huko kuja ku quote watu unaingiza Shobo zako za kipumbavu za kichawa chawa.
Tafuta kazi wewe uachage uchawa.
Amani iko wapi zaidi ya utulivu tu na uoga wa wananchi?amani isiyokuwa na maendeleo huwa pumzi yake ni ndogo sana!, na msipoangalia mnaweza mkailipa kwa damu ama jasho au namna yoyote tu!.🥺😭
Ndiyo amani ya CCM huku wao wanalindwa fullAmani ni kwa viongozi tu, sisi wananchi ambao hatuna walinzi ni mwendo wa kutekwa tu na kuuawa
Don't come here to advertise your ignorance.Relax bas gentleman,
punguza makasiriko, lakini bila madeni hutoboi kirahisi kamanda, komaa yataisha tu 🤣
regardless of your mayhem,Don't come here to advertise your ignorance.
Idiot chawa.
Peleka uchawa huko.regardless of your mayhem,
I wish you Mary Christmas and new year 2025 in advance gentleman 🐒
nawawishi wadau wote tu wenye mihemko na wasio na makasiriko gentlemanPeleka uchawa huko.
Nenda kawa wish hao viongozi wako wakupe mboga ya Christmas.