Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?


Ccm haijawahi shinda uchaguzi bara na visiwani ni nguvu

dala ndiyo inayofanya wabaki madarakani;
 
Ukweli ni kuwa tangu uchaguzi wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na 2020 Maalim Self Sharif Hamad alishinda lakini watawala hawakutaka kumpa ushindi wake, na michezo yote ya kuvuruga uchaguzi wa Zanzibar ilikuwa ikiratibiwa na Tz bara.

Leo hii baadhi ya watawala wa kiCCM (ikiwemo huyu Karume) dhamira zao zinawasuta, maana Maalim Self alishafariki dunia, hakuwa na kinyongo na hakuwahi kuweka kisasi kwa yoyote aliyehusika kudhurumu haki yake.

Mungu yupo, na ipo siku historia itabadilika Zanzibar kadri zama zinavyobadilika hasa wazanzibar wote watakapogundua adui yao mkuu ni CCM na CCM ndio shetani aliyezaliwa Tanganyika kuja kupora uhuru na rasimali za watanzania.
 
Sikatai kwa unavyofikiri but walao kasema kitu
Kiongozi sina lengo la kubishana na hoja yako.
Hoja yangu ya msingi hapa ni kwanini alikaa kimya kwa miaka 6? Kwa nini aliendelea na nafasi yake ndani ya chama hali ya kuwa anajuwa maalim seif, wazanzibar pamoja na yeye mwenyewe wamedhulumiwa?
Kunyamaza na kushiriki kwa muda wote huo ndio kunaondoa mantiki ya kile anacho kisema sasa hivi.
 
Akirud nistue
 
Unafik mtupu hawa viongozi wakishatoka madarakani ndo wanajifanya waungwana sana
 
Asikudangaje mtu Zanzibar serikali ya umoja wa kitaifa inawezekana tu pale mtoto wa mwarabu mpemba akishika Kama Raisi akishika Mswahili ngozi nyeusi waarabu wapemba hawataki serikali ya umoja wa kuanzia kitaifa kuanzia kipindi Cha Karume baba yake huyo karume mwehu wapemba waliomuua , iwe kipindi Cha Mwinyi ,Raisi Idris Wakil, iwe kipindi Cha Salmin Amour ,Au kipindu Cha Dr Sheiin

Huyu Makamu wa kwanza wa Raisi mfano wa Zanzibar wa Sasa Ni mla pilau tu misiba na pilau kwa waarabu wapemba na akina Duni Haji waswahili wenzie .Hana lolote

Zanzibar waarabu wapemba hawataki hata siku moja ishikwe na Mswahili mweusi Mia kwa Mia hata awe mpemba kama Shein nk hata wakushika Wala ubwabwa kwa wapemba kwenye misiba yao wawe CCM au upinzani wawe Duni Haji au huyo Makamu wa Kwanza wa Raisi atahesabika mtwana tu na hopeless hata awe upinzani

Wapemba waarabu Zanzibar Ni wakabila kupindukia akiwemo huyo Aliyekuwa Raisi Karume wa CCM mtoto wa Karume aliyeongea hayo
 
QUOTE="jiwe angavu, post: 40731009, member: 322115"]
Najua inauma..ila unabidi uzoee ccm ipo kukaa maisha...wewe izbhu katafute pa kwenda.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
[/QUOTE]

Maisha CCM haitoongoza, Na ijifunze kinachotokea Tigria
 

Mbona unakuwa Kama Peter THE satan unasema uongo?
John the baptist hakuwa mwongo kama wewe.
Karume hakuuliwa Na mpemba

Wala Seif Si mwarabu. Mama yake ni mswahili mweusi Na Baba yake hivyo hivyo akiitwa maharage.
Chuki Na ubaguzi mnao nyinyi waafrika wa bara ,hasa nyinyi wakristo wakatoliki
 
Seif Ni mwarabu mpemba alikuwa mbaguzi kama Nini serikali zote za umoja wa kitaifa alikubali Kama Raisi aliyepo madarakani ana vinasaba vya kipemba kiarabu kwa kuzaliwa .Period.Fuatilia historu ya Zanzibar ngozi nyeusi wenye wazazi wote wasio na vinasaba vya wapemba waarabu waneoneqa sana na wapemba waarabu kuanzia Mwasisi Sheihe Karume ,Abood Jumbe pamoja na kujikomba kwa akina Maalim Seif , mzee Mwinyi, Salmin Amoor ,mzee Idris na Dr Sheiin walionusurika Ni tu Wenye vinasaba vya wapemba waarabu Raisi Abeid Aman Karume huyo mlaumu CCM na Dk Hussein Mwinyi Raisi wa Sasa tu

Wapemba waarabu nyoko sana
 
Wana Ccm mnaojichukulia ni wazalendo sanaaa ni muflis . Hamna hoja sana sana mtakimbila ukabila, ukanda & udini .

Hoja ni kuwa Ccm haitaki chaguzi huru kama ilivyotokea Tanganyika 2020
 
Wapinzani wenyewe hawautaki MUUNGANO.........


SIEMPRE CCM
 
Hata ucgaguzi wa.2010 Maalim alishinda wazi wazi wakati Karume anamalizia muda wake. Alikuwa na nguvu ya kumtangaza mshindi halali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…