Pre GE2025 Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi

Pre GE2025 Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza.

Ameandika Martin Maranja Masese

Amani Manengelo ni kiongozi wa vijana wa CHADEMA mkoa wa Mwanza. Katibu wa BAVICHA Mkoa - Mwanza.
Nimepata habari za kutekwa na kupotea Manengelo nimesikitika sana… kwamba vitendo hivi vinaendelea?
Inaelezwa kwamba, Amani Manengelo alitekwa na watu wasiojulikana siku ya 14.02.2025, Misungwi, Mwanza.

Ni nchi zenye tawala dhalimu za kidikteta neiyo zinaweza kuteka vijana wadogo ambao ni wapinzani wa Serikali.
Nafikiri, sasa ni muda wa kuonesha vitendo dhidi ya maneno. Tuwaoneshe watekaji sisi siyo kuku bandani.

Yaitishwe maandamano makubwa ya kushinikiza watu wote waliotekwa na kupotea, warejeshwe kwa haraka.
Vijana wa CHADEMA Mwanza, ni wakati wa kuonesha nguvu ya umma kushinikiza Manengelo apatikane.

Tusiwaache wahuni kuamua nani atekwe na kupotezwa. Kesho watamteka mwingine na kila kitu kitaendelea.
Tunao uongozi mpya wa chama, na umesisitiza wazi utapambana na vitendo vya utekaji, ni muda muafaka.

Kwa kuwa wanatekwa wenzetu, tuoneshe kwa vitendo vitendo vya utekaji ni ushenzi na ushamba usiokubalika.

Kataa utekaji. Kataa utekaji. Kataa utekaji.

Wameanza tenant😭😭😭
 
Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza.

Ameandika Martin Maranja Masese

Amani Manengelo ni kiongozi wa vijana wa CHADEMA mkoa wa Mwanza. Katibu wa BAVICHA Mkoa - Mwanza.
Nimepata habari za kutekwa na kupotea Manengelo nimesikitika sana… kwamba vitendo hivi vinaendelea?
Inaelezwa kwamba, Amani Manengelo alitekwa na watu wasiojulikana siku ya 14.02.2025, Misungwi, Mwanza.

Ni nchi zenye tawala dhalimu za kidikteta neiyo zinaweza kuteka vijana wadogo ambao ni wapinzani wa Serikali.
Nafikiri, sasa ni muda wa kuonesha vitendo dhidi ya maneno. Tuwaoneshe watekaji sisi siyo kuku bandani.

Yaitishwe maandamano makubwa ya kushinikiza watu wote waliotekwa na kupotea, warejeshwe kwa haraka.
Vijana wa CHADEMA Mwanza, ni wakati wa kuonesha nguvu ya umma kushinikiza Manengelo apatikane.

Tusiwaache wahuni kuamua nani atekwe na kupotezwa. Kesho watamteka mwingine na kila kitu kitaendelea.
Tunao uongozi mpya wa chama, na umesisitiza wazi utapambana na vitendo vya utekaji, ni muda muafaka.

Kwa kuwa wanatekwa wenzetu, tuoneshe kwa vitendo vitendo vya utekaji ni ushenzi na ushamba usiokubalika.

Kataa utekaji. Kataa utekaji. Kataa utekaji.

Ccm ni janga la taifa
 
Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza.

Ameandika Martin Maranja Masese

Amani Manengelo ni kiongozi wa vijana wa CHADEMA mkoa wa Mwanza. Katibu wa BAVICHA Mkoa - Mwanza.
Nimepata habari za kutekwa na kupotea Manengelo nimesikitika sana… kwamba vitendo hivi vinaendelea?
Inaelezwa kwamba, Amani Manengelo alitekwa na watu wasiojulikana siku ya 14.02.2025, Misungwi, Mwanza.

Ni nchi zenye tawala dhalimu za kidikteta neiyo zinaweza kuteka vijana wadogo ambao ni wapinzani wa Serikali.
Nafikiri, sasa ni muda wa kuonesha vitendo dhidi ya maneno. Tuwaoneshe watekaji sisi siyo kuku bandani.

Yaitishwe maandamano makubwa ya kushinikiza watu wote waliotekwa na kupotea, warejeshwe kwa haraka.
Vijana wa CHADEMA Mwanza, ni wakati wa kuonesha nguvu ya umma kushinikiza Manengelo apatikane.

Tusiwaache wahuni kuamua nani atekwe na kupotezwa. Kesho watamteka mwingine na kila kitu kitaendelea.
Tunao uongozi mpya wa chama, na umesisitiza wazi utapambana na vitendo vya utekaji, ni muda muafaka.

Kwa kuwa wanatekwa wenzetu, tuoneshe kwa vitendo vitendo vya utekaji ni ushenzi na ushamba usiokubalika.

Kataa utekaji. Kataa utekaji. Kataa utekaji.

INSIGNIFICANT/LOW VALUE TARGET:ROACH:
 
..Mwita Waitara wa CCM naye analalamika kuwa kuna vijana wake wanaomuunga mkono wametekwa hawajulikani waliko.
achague pakuripoti ikiwa ni polisi kwa msaada wa kiuchunguzi au mitandaoni ili kupata tension na huruma 🐒
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tuingie road kama vipi maridhiano ni upuuzi Lissu aitishe maandamano tukinukishe akishamaliza sherehe za kumtoa Mbowe
Sherehe za kumtoa Mbowe unazijua wewe,Mimi nachosema maridhiano hayakua na maana yoyote,kama Mwamba aliamini hicho basi alifeli
 
Polisi hawana msaada kwenye masuala ya utekaji.

wangekuwa na msaada suala la kutekwa na jaribio la kumuua Sativa lingekuwa limepatiwa majibu.
 
..Polisi hawana msaada kwenye masuala ya utekaji.

..wangekuwa na msaada suala la kutekwa na jaribio la kumuua Sativa lingekuwa limepatiwa majibu.
mbona watua hawavai tena bullet proof vest kama tataizo ni polisi gentleman :NoGodNo:
 
Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza.

Ameandika Martin Maranja Masese

Amani Manengelo ni kiongozi wa vijana wa CHADEMA mkoa wa Mwanza. Katibu wa BAVICHA Mkoa - Mwanza.
Nimepata habari za kutekwa na kupotea Manengelo nimesikitika sana… kwamba vitendo hivi vinaendelea?
Inaelezwa kwamba, Amani Manengelo alitekwa na watu wasiojulikana siku ya 14.02.2025, Misungwi, Mwanza.

Ni nchi zenye tawala dhalimu za kidikteta neiyo zinaweza kuteka vijana wadogo ambao ni wapinzani wa Serikali.
Nafikiri, sasa ni muda wa kuonesha vitendo dhidi ya maneno. Tuwaoneshe watekaji sisi siyo kuku bandani.

Yaitishwe maandamano makubwa ya kushinikiza watu wote waliotekwa na kupotea, warejeshwe kwa haraka.
Vijana wa CHADEMA Mwanza, ni wakati wa kuonesha nguvu ya umma kushinikiza Manengelo apatikane.

Tusiwaache wahuni kuamua nani atekwe na kupotezwa. Kesho watamteka mwingine na kila kitu kitaendelea.
Tunao uongozi mpya wa chama, na umesisitiza wazi utapambana na vitendo vya utekaji, ni muda muafaka.

Kwa kuwa wanatekwa wenzetu, tuoneshe kwa vitendo vitendo vya utekaji ni ushenzi na ushamba usiokubalika.

Kataa utekaji. Kataa utekaji. Kataa utekaji.

this is very bad! My president take note of this, please!
 
Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza.

Ameandika Martin Maranja Masese

Amani Manengelo ni kiongozi wa vijana wa CHADEMA mkoa wa Mwanza. Katibu wa BAVICHA Mkoa - Mwanza.
Nimepata habari za kutekwa na kupotea Manengelo nimesikitika sana… kwamba vitendo hivi vinaendelea?
Inaelezwa kwamba, Amani Manengelo alitekwa na watu wasiojulikana siku ya 14.02.2025, Misungwi, Mwanza.

Ni nchi zenye tawala dhalimu za kidikteta neiyo zinaweza kuteka vijana wadogo ambao ni wapinzani wa Serikali.
Nafikiri, sasa ni muda wa kuonesha vitendo dhidi ya maneno. Tuwaoneshe watekaji sisi siyo kuku bandani.

Yaitishwe maandamano makubwa ya kushinikiza watu wote waliotekwa na kupotea, warejeshwe kwa haraka.
Vijana wa CHADEMA Mwanza, ni wakati wa kuonesha nguvu ya umma kushinikiza Manengelo apatikane.

Tusiwaache wahuni kuamua nani atekwe na kupotezwa. Kesho watamteka mwingine na kila kitu kitaendelea.
Tunao uongozi mpya wa chama, na umesisitiza wazi utapambana na vitendo vya utekaji, ni muda muafaka.

Kwa kuwa wanatekwa wenzetu, tuoneshe kwa vitendo vitendo vya utekaji ni ushenzi na ushamba usiokubalika.

Kataa utekaji. Kataa utekaji. Kataa utekaji.

Kwa hiyo na yule mangi aliyetaka kutekwa ili wakampige paipu, naye asingejikomboa mngeitisha maandamano!!? Acheni ufala, sio kila anayetekwa ni siasa wengine mna madeni, wanawake za watu, dhuluma au haujui!!
 
Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi, Mwanza.

Ameandika Martin Maranja Masese

Amani Manengelo ni kiongozi wa vijana wa CHADEMA mkoa wa Mwanza. Katibu wa BAVICHA Mkoa - Mwanza.
Nimepata habari za kutekwa na kupotea Manengelo nimesikitika sana… kwamba vitendo hivi vinaendelea?
Inaelezwa kwamba, Amani Manengelo alitekwa na watu wasiojulikana siku ya 14.02.2025, Misungwi, Mwanza.

Ni nchi zenye tawala dhalimu za kidikteta neiyo zinaweza kuteka vijana wadogo ambao ni wapinzani wa Serikali.
Nafikiri, sasa ni muda wa kuonesha vitendo dhidi ya maneno. Tuwaoneshe watekaji sisi siyo kuku bandani.

Yaitishwe maandamano makubwa ya kushinikiza watu wote waliotekwa na kupotea, warejeshwe kwa haraka.
Vijana wa CHADEMA Mwanza, ni wakati wa kuonesha nguvu ya umma kushinikiza Manengelo apatikane.

Tusiwaache wahuni kuamua nani atekwe na kupotezwa. Kesho watamteka mwingine na kila kitu kitaendelea.
Tunao uongozi mpya wa chama, na umesisitiza wazi utapambana na vitendo vya utekaji, ni muda muafaka.

Kwa kuwa wanatekwa wenzetu, tuoneshe kwa vitendo vitendo vya utekaji ni ushenzi na ushamba usiokubalika.

Kataa utekaji. Kataa utekaji. Kataa utekaji.

Nani amteke huyo mvuta bangi, kwanza angalia macho yake. Mkishaona mmepotea masikioni mwa watanzania mnakuja na kioja cha kipuuzi. Mmemhifadhi sehemu mpate la kuzungumza maana hakuna anayewazungumzia tena.
 
Back
Top Bottom