Amani na utulivu na kinachoendelea Mashindano ya Olympic nchini Tokyo kwa sasa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Fikiria nchi ya Amani na Utulivu tumepeleka wanariadha watatu pekee kule Japan na hata hao watatu haijulikani wanafanya aje kwa sasa. Nashindwa kuelewa nchi zenye misuko suko ya kutosha zina wanamichezo kibao kule Japan lakini nchi ya Amani na utulivu tumeweza kupeleka wanariadha watatu pekee.

Haya maneno Amani na Utulivu ndo CCM na watawala wanayatumia kupumbaza wananchi,
 
Aman na utulivu ndo kichaka Chao Cha kujitetea,
 
kwa sasa kipaombele chetu mama ameshasema ni kukuza uchumi na kupambana na UVIKO 19....
 
Bongo tumewekeza kwenye mambo ya wakata mauno,umbea watoto,media mambo hayo ndiyo
Wanayajua,mambo ya Olympic hawana time nayo

Ova
 
(Amani ni hali ya raha na salama bila ugomvi; ni kinyume cha fujo au vita. Mara nyingi hali za amani ya nje na amani ya ndani hutofautishwa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…