Amani ya DRC na kesho ya usalama wa Tanzania

Amani ya DRC na kesho ya usalama wa Tanzania

Kwa sehemu kubwa swala siyo ADF sana, labda utake kuhamisha 'focus' tu toka kwa tatizo kubwa la M23 kwa sababu uzijuazo mwenyewe.
ADF ni tatizo si kwa DRC pekee, ni tatizo hasa la Uganda.
Hakuna nchi jirani zinazowasaidia ADF kuvuruga DRC, kama wanavyopewa msaada hao M23, ambao ni tatizo kubwa zaidi.
Mkuu si tunazungunmzia matatizo ya DRC na usalama wa Tanzania .! Sijasema M23 sio tatizo .Mimi nimejikita Kwa ADF na udini...na Hatari inayoikabili Tanzania ikijiweka mbele
 
Mkuu si tunazungunmzia matatizo ya DRC na usalama wa Tanzania .! Sijasema M23 sio tatizo .Mimi nimejikita Kwa ADF na udini...na Hatari inayoikabili Tanzania ikijiweka mbele
Yaani tuogope kuwasaidia DRC kwa sababu kuna ADC, ambayo yenyewe mapambano yake yapo mbali kabisa nasi?
Hatari kwetu ni M23, ambayo ni mkakati wa baadhi za nchi jirani kujitanua; na baadhi ya maeneo ya nchi yetu yanakaliwa na watu ambao hawana tofauti yoyote na wale wa M23.
Wakifanikiwa huko kuinasua Kivu Kaskazini, watageukia Kaskazini Magharibi yetu kuongeza ukubwa wa nchi yao.
Linaonekkana leo kuwa ni jambo lisilowezekana; lakini hujui kesho na kesho kutwa itakuwaje.

Wewe naona lengo hapa ni kuhamisha tu lengo, tuwatazame au ADC ambao kiukweli ni tatizo la Uganda, siyo sisi.
 
Upo sahihi Kabisa Kwa hao Banyamulenge" lakini huwezi kuwapuuza ADF ambao Kwa falsafa Yao ,wakitska mfuasi kutoka Tz wanaweza kumpata sehemu ndani ya muda mfupi! Beni sio mbali na Na anzania Mkuu!
 
Tutafute ufumbuzi wa kudumu wa hili tatizo ..Kukoseakana amani kwa mmoja wa mwanachama wa Jumuiya zetu ikiwamo SADC,EAC ni kukosekana amani kwetu..

Duniani tunapita..Tutende wema kwa wasio na hatia..Tutende wema kwa wanaoteseka
Hivi unafkiri anakusikia??? Saa hivi yupo zake anajilia kamvinyo ttrrraaaatiiiiibu😄😄.. Msubirie Zuuh mida mida akitoa new tangazo
 
Tumeshawazuunguka mutu kati sasa ni KUWATWANGA tu No connection na sponsa wao ....atakaye piga kelele tunaanza naye ...ni Mbula ya Mabanga mfulululizo

Goma Kusini
Naomba link ya uzi wako.
 
Back
Top Bottom