Amapiano ni Ushamba wa wasanii wetu au fasheni?

Amapiano ni Ushamba wa wasanii wetu au fasheni?

Kwa mtindo huu,mziki wa bongo utakua una twist mahututi na kuibukia Nigeria,mara South Africa,yaan popote Africa unaeza shangaa ukaukuta.
Namaanisha kuiga.
Mziki ambao wenzetu nje wameshindwa kuiga ni singeli.
Watoto wana soko lao mtaani hawana shida.
Japo wanaimba matusi na hawaeleweki lkn ndo wanasoko lao tyr,na hawabadiriki.
 
Kwa mtindo huu,mziki wa bongo utakua una twist mahututi na kuibukia Nigeria,mara South Africa,yaan popote Africa unaeza shangaa ukaukuta.
Namaanisha kuiga.
Mziki ambao wenzetu nje wameshindwa kuiga ni singeli.
Watoto wana soko lao mtaani hawana shida.
Japo wanaimba matusi na hawaeleweki lkn ndo wanasoko lao tyr,na hawabadiriki.
Lakini pamoja na hilo soko lao pendwa hao waimba singeli haliwainui kiuchumi, waburudishaji waendelee kwa hizo singeli zao na wanaotumia muziki kulenga kutoboa kiuchumi acha wapambane kwa strategies wanazoamini ndiyo zitawafikisha malengo yao.
The end justifies the means.
 
Kwa mtindo huu,mziki wa bongo utakua una twist mahututi na kuibukia Nigeria,mara South Africa,yaan popote Africa unaeza shangaa ukaukuta.
Namaanisha kuiga.
Mziki ambao wenzetu nje wameshindwa kuiga ni singeli.
Watoto wana soko lao mtaani hawana shida.
Japo wanaimba matusi na hawaeleweki lkn ndo wanasoko lao tyr,na hawabadiriki.
Mziki wa kweli Ni mnanda na mdundiko TU
 
wasanii watanzania kila mmoja kukimbilia kuimba Amapiano ambayo ya SA ni ushamba wa kiwango cha lami.

Nimependa sana Msaanii wa Singeli Kinata MC katoa nyimbo na mwanadada wa Uganda anaitwa Azawi nyimbo inaitwa Do le mi Go remix,
Taratibu singeli imeanza kueleweka East Africa.
 
Back
Top Bottom