Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Naona sasa imekua ndo kawaida kwa wasanii wetu kila wimbo unaotoka ni Amapiano sijui amopiano yaani zinafanana kwa kila kitu,binafsi naona ni upuuzi mtupu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikiliza Mapopo ya Damian Sol au Hodi ya ZaiiDSijawahi kuielewa Amapiano, japokuwa naona kama midundo hii inatrend Africa kuliko midundo ya Kinaija, ila mimi bado mpaka sasa hamna hata nyimbo niliyo ielewa.
Hamna inayo inayo ni vutia.Sikiliza Mapopo ya Damian Sol au Hodi ya ZaiiD
Hamjui kuimbaaaaaaaa,Katunge yako yenye kelele za nyuki
Lakini pamoja na hilo soko lao pendwa hao waimba singeli haliwainui kiuchumi, waburudishaji waendelee kwa hizo singeli zao na wanaotumia muziki kulenga kutoboa kiuchumi acha wapambane kwa strategies wanazoamini ndiyo zitawafikisha malengo yao.Kwa mtindo huu,mziki wa bongo utakua una twist mahututi na kuibukia Nigeria,mara South Africa,yaan popote Africa unaeza shangaa ukaukuta.
Namaanisha kuiga.
Mziki ambao wenzetu nje wameshindwa kuiga ni singeli.
Watoto wana soko lao mtaani hawana shida.
Japo wanaimba matusi na hawaeleweki lkn ndo wanasoko lao tyr,na hawabadiriki.
Mziki wa kweli Ni mnanda na mdundiko TUKwa mtindo huu,mziki wa bongo utakua una twist mahututi na kuibukia Nigeria,mara South Africa,yaan popote Africa unaeza shangaa ukaukuta.
Namaanisha kuiga.
Mziki ambao wenzetu nje wameshindwa kuiga ni singeli.
Watoto wana soko lao mtaani hawana shida.
Japo wanaimba matusi na hawaeleweki lkn ndo wanasoko lao tyr,na hawabadiriki.
Wanaangalia soko na fulsa yaani wanataka kupaa internationalHizo amapiano ni upumbavu tulioiga bila sababu..
Sikiliza Mapopo ya Damian Sol au Hodi ya ZaiiD