Hahaha poleHuyu jamaanilitokea kumchukia haswa nakumbuka kipindi fulani nilijitwika kwa kigoli mmoja alikuwa mkali kweli kweli.Basi kwa bahati nzuri au mbaya akashinda umiss katika baadhi ya vitongoji.
Hili fisadi likamuona.....Guess what!!....jamaa zangu wakanishtua ikabidi nisitishe ghafla mkataba na kigoli kile...baada ya muda namuona na RAV 4 Nyekundu!
Nilipokuja kujua maana ya gari lile jekundu,nikashukuru Mungu.Alaaniwe alininyang'anya tonge mdomoni
NaamHaitishi chochote....kwanza hakuna demu wa maana ktk hiyo list....
Na kama mtu wewe umepitia baadhi yao hapo na wewe huna maana vile vile...
...You may add diabetes, too. The silence killer disease
HahahaMpaka nimejishangaa,nilikuwa noma hata sikumbuki kama niliwahi changia namna hii kwenye huu uzi,RIP AMATUSI
Tulikuwa tunamshangaa Lyumba.Kumbe Lyumba ni kisima tu kwamba Baltazar ambae ni Bahati🤣
Kaa chonjoMweeh mbona k lyn bado yupo fit na kajizalia mapacha wake freesh kabisa na mzee machache.
Yeskinyume cha
Machache ni Mengi sijui nimepatia Lol!
Hahahana mimi mni PM
asanteni
kazi kwenu sasa na magari yenu mekundu
Tumia akiliHii mada mbona siilewi elewi? mbona hizo habari za kuanguka kwa Liumba ni za mwaka 47, but hapa inaonekana kama za leo? afu mtu mwenyewe si bado yuko sero? kaanguka saa ngapi na lini? mi naona kichina china tu hapa!
HahahaMarehemu, alipita hadi kwa Mange Kimambi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hajafa bado?Hi guys!
Yule fisadi wa BOT aliekuwa akigawa gari nyekundu kwa ma miss na madazetu na kufanya wengine kuogopa hata kwenda kupima kutokanan na mawzo hivi jana alianguka akiwa kazini akisuburi kupangiwa nafasi nyingine...
Kwa wale wenye ndugu BOT mnaweza nyonya data zaidi tumwagie. Ninachofahamu alielekea hospital ya Aghakhan na baadae kuruhusiwa, kutokana na pressure na kisukari.
Mie "chichemi"
Acha utoto na wogaAngalia Usije ukakuta file lako kwa Insta ya Mange.
Kafa mkuuHajafa bado?
Lina ukimwi lileMange mjanja sidhani kama aliuza mechi.
Vp mbona Povu sana kwa Da Mange? Angekuwa nao wandewa wangesha chana mkeka hadharani na kuuanika.Lina ukimwi lile
Shauri zakoVp mbona Povu sana kwa Da Mange? Angekuwa nao wandewa wangesha chana mkeka hadharani na kuuanika.
Mjane yupo mzeeKaburi limefukuliwa baada ya kifo cha Mengi kwani mjane naye yupo kwenye list ya watuhumiwa!! JF bhana.
SanaMambo ya hatari