Amatus Liyumba: Balaa!

Kum-'PM' mtu maana yake ni nini? tusaidieni na wenzenu tujue


Kum-'PM' ni kumtumia mtu ujumbe private.....au unatuma ujumbe binafsi hapa hapa JF kuna kachumba kasiri.
 
Fidel80,
Asante kwa msaada huo. sasa nimejua
 
Kum-'PM' ni kumtumia mtu ujumbe private.....au unatuma ujumbe binafsi hapa hapa JF kuna kachumba kasiri.

Nimefurahi kwa kueleimishwa huku, lakini bado kuna tatizo moja hizi meseji binafsi mtu unazipataje na ili nitumiwe ninahitajika kuwa na sifa gani manake kuna mambo mengine ni ya muhimu sana kwa wana JF tu bali ni kwa umma wote wa watanzania na hasa ukizingatia kinachowasilishwa humu ni kile ambacho wenye mapenzi mema na Tanzania sawa kwa wote inawezekana
 
Na inawezekana kawapata wengi kwani masistadu wapenda RAHA na ujiko nafikiri alikuwa anatongoza kirahisi tu--PESA TU. Na Ukimwi kwa mtindo huu hautaisha wala kupungua.

In this case then"Haponi m2-labda vichaa wa segerea ndo wataponea chupuchupu"

B'se how'll i know that one of my girlfriends has been circulated in the Lyumba system!

I guess most of the celebrities' ladies have beed Chifuperd while still alive.
 
Hapo patamu kweli kweli kweli, kamuambikiza binti yake indirect.
Kumbe mtu unaweza kumuambukiza kaka, dada na mzazi wako kwa mtindo huo

"Mshahara wa dhambi ni mauti".....the least I can say.
 

...huyu mdingi, kiwingu cha gundu kimemzungukia mwishowe kesi imemkumba kweli,...I hope ataendelea kuwa hai mpaka mwisho wa kesi yake.
maana inaonekana wengi wanamachungu naye...
 
Mshahara wa dhambi ni mauti!

...hapana, asife kwanza. Ukiondoa marehemu Dakta Daudi Balalli, 'huenda' huyu naye atakuwa anazijua siri za vigogo walotafuna pesa za BOT.

Sasa bail kubwa hivyo jamani na hiyo afya yake inavyosemekana mgogoro, mnh... asijeanguka tena na kufa ghafla rumande! ...angalau he's putting a brave face kuliko huyu baba wa kulia, he looks so drained!

 
mzunguko wa fedha kwa dada zetu utapungua......bail yake ni kiaso gani?
 
mzunguko wa fedha kwa dada zetu utapungua......bail yake ni kiaso gani?


...inadaiwa si chini ya 'vijisenti' bilioni moja vya kitanzania, ...yessss 100,000,000,000/= , equivalent US $ 134m...(?)
 
Over and Out...

Sasa naenda kwenye thread ya "Liyumba Kisutu" ....

Tutaona mengi kabla ya uchaguzi mkuu 2010!!!
 
Naona imekuwa kama fasheni vile:chupa za maji spesho mkononi kwa kila fisadi apandishwaye kizimbani!...labda wanauhakika wa kuendelea kuyanywa hata watakapokuwa 'kifungoni'
 
Naona imekuwa kama fasheni vile:chupa za maji spesho mkononi kwa kila fisadi apandishwaye kizimbani!...labda wanauhakika wa kuendelea kuyanywa hata watakapokuwa 'kifungoni'

Good observation, Maji ya uzima hayo; umegundua wote wanatumia maji chapa Kilimanjaro, ...hawanywi yetu walalahoi chapa Uhai, au vile vipaketi...😀
 
Inasemekana chanzo cha kusambaza ukimwi huyu bwana alitembelewa na baba yake mzazi..kwenye age zake kalikuwa kazuri kweli.wenye data zaidi tusaidieni...hii ni laana ndio maana akaweza kutembea na mwanae kama kweli!!1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…