Amatus Liyumba: Balaa!


kama hii ndio kigezo cha kusema orodha hiyo ni ya kizushi ni bora ungeuliza kwanza hao warembo amewapitia kwa muda gani? siku, miezi au miaka na hapo ndipo uhoji kama alikuwa anafanyakazi au alikuwa anazingatia kifimbo cheza tu.


binafsi sina data za kusema hiyo orodha ni feki au la, ila huyu mkubwa umaarufu wake wa ngono umekuwepo mitaani kipindi sasa. kama hiyo orodha ni kweli hata kwa nusu tu basi hiyo chain yake naogopa hata kufikiria hususan ukizingatia hao watajwa wako kwenye eneo la umri unaotajwa kama "active" wacha tu
 
Huu ni udaku na umbea usio na uhakika. Leta ushahidi kuonesha kwamba Mr L ana ukimwi. Na ulijuaje kama alitembea na wanawake wote hao kama wewe haukuwa kuwadi?. Ok hata kama ana ukimwi, kama walitumia kondomu?.
 
Kusema kweli mara nyingi hata mimi nlikuwa siziamini hizi blogs, lakini threads nyingi za jf ni za uhakika na mimi nimeamua kuwa member sababu hiyo. Hapa hajachafuliwa mtu. Mimi nilikuwa nafanya kazi pale Kilimanjaro Hotel Kempinski (reception) Maimartha Jesse na huyo Liyumba (mzee wa bank) hiyo ilikuwa hotel yao kubwa na hata siku moja Maimartha ali-book chumba hawakutokea na hadi leo us$ 175 ipo pale kempinsnki hajaenda kuchukua, sio uongo jamani kwa Maimartha ndio alikuwa kama mkewe ila kwa hao wengine sina uhakika kwa sasa niko Florida USA, ningeweza kufanya uchunguzi.
 

Sasa kama orodha hii inakataliwa, basi umaarufu wa ngono wa mr Lyumba utakuwa si wa kweli. Anayekataa atauambie kuwa si kweli Lyumba ni maarufu wa kuhonga na kufanya ngono.

Wewe Fikiria hadi mwanae wa kumzaaa ndani.

Nafikiri anayekataa, anatakiwa akatae mzee wenyewe seme lyumba anasingiziwa lakini usikubali kuwa lyumba ni malaya harafu ukiletewa listi unasema ni uzushi.
 
tatizo kubwa la watanzania wanaakuza sana rumours lakini wakiaambiwa ya ukweli wanakataa kuhusu huyo liumba hakuna uongo hapo yote ni kweli tu kama ni uongo hao wanawake wakatae hadharani,wenzetu majuu wana utamaduni wa kukiri jambo au tukio alilofanya,kwa mfano juzijuzi tu yule mshindi wa medali nane za dhahabu za olimpiki kule beijing michael phelps amekutwa akivuta bangi,yeye alijitokeza mbele ya waandishi wa habari na kukiri na kuomba radhi,sasa sisi watanzania hatuna utamaduni huo wa kukubali makosa
 


Kwa hiyo, unataka wahusika waseme
1. wamepima ngoma na kututangazia status zao,
2. kwamba wame-do na Liyumba
3. au vyote 1) & 2) ?

Huoni hii itarusha tafrani na dafrau kubwa sana hapa Dar ? 😀 😀
 

I personally have known a lady who appears in that list for the last 11yrs,her husband walked away from her leaving her with 2 kids many years ago and she has struggled from being an employee to become a successful businesswoman and she is very hard working and it pains me for people to be so malicious.
 
MODs naomba kwa usalama wenu muiondoe hii, otherwise mjue kesi nyingi za manslaughter zitawaandama very soon, I can imagine the number of people who are lying on the floor having heart attacks after reading this!!!!!!
 
'...mpaka uguse kikaango ndio ujue chaunguza eeh!?'

hizi ARV (zinazorefusha maisha) zinadanganya macho, mtu ushaambiwa ana wadudu huamini, tena unadhani ukijipangusa au ukikoga (kama Jocob Zuma) wadudu watapukutika!

Mmetahadharishwa, ogopeni Listi hiyo na mzunguko wa partners wao, kama hamuamini irudieni Listi hiyo baada ya miaka kumi wangapi watakuwa wamebakia...!
 
...I can imagine the number of people who are lying on the floor having heart attacks after reading this!!!!!!

...aaahhh kaka, huoni mtu akijua aliwahi 'kula-Uroda' na mmoja katika mzunguko huo basi itakuwa vyema naye akapime, ikibainika kaathirika aanze kutumia ARV kabla hajaathirika sana?

sio powa kila mtu siku hizi kusingizia eti amelogwa, au anaumwa typhoid kali ndio maana amedhoofu ilhali heshi kukohoa!
 

Kaka ni lazima utapata mshtuko baada ya kumuona mwandani wako kwenye hiyo list, habari ya kupima itakujia baadaye ukishazinduka (if at all utazinduka!) na akili kukurudia!
 
Kaka ni lazima utapata mshtuko baada ya kumuona mwandani wako kwenye hiyo list, habari ya kupima itakujia baadaye ukishazinduka (if at all utazinduka!) na akili kukurudia!

..ha ha ha, maneno yametimia hayo, haya poleni!
 
Kwa kuwa tumeshaanza kukiuka utawala wa kisheria na kikatiba, kama Mh. Waziri Mkuu na yule Mkuu wa wilaya ya nanihii walivyotuonyesha njia, kwanini huyu huyu Liumba asikamatwe na kupimwa kirusi kwa nguvu na kama ana ngoma afunguliwe mashtaka mengine ya kukisambaza kwa makusudi kabisa huku akitumia hela za wavuja jasho? Hukumu yake iwe ni kunyongwa mpaka afe!
 

Tutajisumbua kutafuta mtu wa kumnyonga bure wakati he is at the death's door. Akigundulika kuwa anasambaza kwa makusudi, basi abakie maabusu tu for a while then it will be his end.
 


.... Did you get to know her LOVE life??
 
Tutajisumbua kutafuta mtu wa kumnyonga bure wakati he is at the death's door. Akigundulika kuwa anasambaza kwa makusudi, basi abakie maabusu tu for a while then it will be his end.

Ungejua kinachoendelea huko mahabusu nyakati za usiku ndugu yangu usingeyasema haya, tena mtu mwenyewe ndo bazazi kiasi hicho- atatumalizia ndugu zetu huko selo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…