Amatus Liyumba: Balaa!

Mimi nawashangaa watu sanaaaa tu wanavyo wanyoshea vidole wenzao na kuweka list ndefu, kuigeuza geuza na vinginevyo. Ok sina ubishi wala si support kilicho kny list hiyo cos sina data za uhakika....lakini hata kama ni kweli so wht? kila moja wetu hapa provided that downstairs kunafanya kazi awe ameolewa au kaoa yupo kwenye list fulani ambayo one of those people in the list ni affected!

Ebu jiulize tangia umebalehe, ukajua ku**ba au ku***wa, ni watu wangapi umekutana nao na ulisha achana au bado ukikutana hudokoana mara mojamoja (watalaka hawatongozani)? au kama leo una mshikaji wako au mke/mme wako, una uhakika gani kama huyo jamaa anashake na wewe tu? So tukifuata ukweli, kila mmoja wetu analist yake ambayo hatujui hata status za watu wote ambao wapo kwenye list hizo! Bora hata Liumba list yake inajulikana (kama kweli), sisi wengine list zetu hazijulikani kabisa...cos tuweza kuwa tulibeba mara moja, mbili pale Jolly or Kinondoni etc, sasa wale mabinti wanbebwa na wangapi? can u imagine that?

So acheni kunyosha vidole sana kwa watu ambao list zao at least zajulikana, orodha zenu hazijulikani....this is too risk!

Ni mawazo yangu tu!
 
.... Did you get to know her LOVE life??

She is my neighbour,very respectable and has refused to date anyone and says her only priority is her children.By the way am married with children but in a different situation would gladly take the lady as a wife our religious difference aside.
 
She is my neighbour,very respectable and has refused to date anyone and says her only priority is her children.By the way am married with children but in a different situation would gladly take the lady as a wife our religious difference aside.


Sijakusoma vilivyo hapo mkuu unamaanisha nini?
 
Na maana ni mama mwenye heshima na bidii na anafaa kuwa mke wa mtu yeyote kama angependa.

Ok mkuu...duh mi nishatafsiri vibaya thought mkuu siku moja moja kanakuwa kanyumba kadogo kumbe sio, thanks for clarification!
 
...kuwa na mi-nyenyere siku hizi ni fasheni, kuna sehemu ukiwa huna watu wanakushangaa!

Ha ha ha!
Kuna jamaa aliingia katika zahanati na akaawambia manesi,
"Jamani nina miwaya na umeme mkali kama wa duracell, nipatieni dawa tafadhali"
Baada ya kucheka sana manesi walimpatia huduma haraka kwelikweli.
 
...kuwa na mi-nyenyere siku hizi ni fasheni, kuna sehemu ukiwa huna watu wanakushangaa!

...😀 hapana, kwa fasheni ili baadae nije badilishwa 'pampers' mimi mbado!

She is my neighbour,very respectable and has refused to date anyone and says her only priority is her children.

...moja ya masharti ya kutumia dawa za ARV ni ku abstain from SEX

By the way am married with children but in a different situation would gladly take the lady as a wife our religious difference aside.

...I bet wanaosemekana walitembea na huyu 'Mzee wa Mahenge' nao waliamini the same, maana alhamdulillah Mzee huyu ana mapenzi sana kwa wanawe maskini 🙁
 
Mkuu umempumlia pia nini? umekuwa mkali ghafla.....kwi kwi kwi
Mkuu ile list inatisha asiekuambie mtu......bado natoa benefit of dought.....hizi ni propaganda tu za kuharibiana majina....
 
Haitishi chochote....kwanza hakuna demu wa maana ktk hiyo list....

Na kama mtu wewe umepitia baadhi yao hapo na wewe huna maana vile vile...
 
MODs naomba kwa usalama wenu muiondoe hii, otherwise mjue kesi nyingi za manslaughter zitawaandama very soon, I can imagine the number of people who are lying on the floor having heart attacks after reading this!!!!!!

we acha tu! kuna siku tulikuwa sehemu tunapata kinywaji na mmoja wetu alikuwa akipata wine. ghafla akatokea mshkaji mwengine na kutuarifu kwamba
demu flani "ametutoka" na inasadikiwa alikanyaga "line za umeme" mahali. basi ghafla tukasikia "phaa" kucheki glasi ya wine ya yule mshikaji aliyekuwa akinywa wine imemvunjikia mshikaji mkononi. kumbe jamaa na yeye alikuwa akijipongeza kwa yule demu (rip) sasa zile taarifa zilimfanya jamaa aminye glasi yake bila kujijua mpaka ikamvunjikia mkononi. inasikitisha sana.
 
Haitishi chochote....kwanza hakuna demu wa maana ktk hiyo list....

Na kama mtu wewe umepitia baadhi yao hapo na wewe huna maana vile vile...

...kwani unadhani wanaogopa waliomo kwenye listi? hapana bro, ...it's all about 3rd partyism, woga umetanda kuwashuku wenza 'waliopitia/waliopitiwa' na hao 'primaries' kwenye hiyo listi!
 
Statistics zinaonyesha malaria inaua watu wengi kuliko ukimwi
mtu akipata vvu mnaona tayari marehemu , mbona wengine wanadunda hata huyo liyumba bado anadunda
jamani dunia tunapita kufa tutakufa tu
 
Duh!!!!!!!!!!!!!!!!Maskini dada yangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nashukuru Mungu hajaniweka kwenye hiyo orodha!


Mhhh!!!!!!!
Mbona kuna utata. Ina maana ulipitiwa ila kwenye listi haupo au haupo kwenye waliopitiwa kabisa? maana kwa sentensi yako hii! Mh!
 
Statistics zinaonyesha malaria inaua watu wengi kuliko ukimwi mtu akipata vvu mnaona tayari marehemu , mbona wengine wanadunda hata huyo liyumba bado anadunda
jamani dunia tunapita kufa tutakufa tu


...You may add diabetes, too. The silence killer disease
 
....Just a though. Katika hiyo list, kuna angalau ambaye ameonekana pale Mahakama ya Kisutu kusikiliza kesi ya Mzee na kumpa moyo au ndio hivyo tena, likiisha kupata kila mtu anakaa mbali na wewe potelea mbali kama ulimpa RAV4 or not????????
 
Nilifanya hivyo mara tatu ndani ya mwaka mzima na mwisho pale AMREF na kuzawadiwa pia kama pongezi ili niwe mfano kwa wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…