kapima hakupima lakini ni muadhirika wa siku nyingi, anajulikana,
Mkuu unaonekana unadata za uhakika kuhusu huyu mheshimiwa, je, aliconfirm kwako kwamba ana ngoma au wewe ulimpima au uliaccess hii information sehemu fulani kiasi cha kuwa na uhakika hivyo?
mkewe kafa kwa same ugongwa na binti yake ambaye yasemekana pamoja na ubaba alikua mchuchu pia ameshakufa.
Na hawa je, hali za afya zao kuwa walikuwa na ngoma na kwamba ndicho chanzo cha kifo chao-----How do you know this?
Ila tusiwaseme sana maana kila mmoja ana mpangilio wake wa maisha. wao maisha mafupi mradi una drive ni poa kuliko maisha marefu ya kishikilia mchuma.
Wao -------maisha mafupi, ndugu yangu....wewe unauhakika utakuwa na maisha marefu? Je, wewe ulishajaribu kurecall list yako (kama na wewe huwa unafanya/ulishafanya haka kamchezo?
Tusipende kutoa vibanzi kwenye macho ya wenzetu, wakati kwenye macho yetu kuna maboriti!