Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ndio.......umewahi kuona bubu anaongea kwenye simu?
ndio...nshawahi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.......umewahi kuona bubu anaongea kwenye simu?
Kama kweli orodha hii ni kweli, basi ni balaa!!!
acha fix za kikwere.......ndio...nshawahi.....
acha fix za kikwere.......
wewe kuwasiliana an bubu mnaelewana vipi? kisauti au kiishara?
...pamoja na "yanayosemekana" mabaya yake yote, huyu Mzee wa Mahenge anastahiki sympathetic consideration. naamini, it' s Inhumane/ against HUMAN RIGHTS kumnyima haki yake ya msingi ya matibabu na lishe bora uraiani kwa kumwekea sharti la dhamana kubwa kuliko uwezo wake wote!
Dah, sikutegemea katika wiki chache tu huko mahabusu huyu Mzee wetu atadhoofu namna hii. Inasikitisha, Chonde chonde apunguziwe hicho kiwango cha dhamana... ana watoto na wajukuu huyu jamani...!
...kwa kutafuna mali za watz wakati wengine wanashindia mlo mmoja usio na uhakika na pia abuse ya human rights kwa kuwatafuna dada zetu ovyo bila hata kujali usalama wao (if affected with HIV).
Aaaah, acheni hizo 'Mob Justice!' Mzee wa mahenge hakumshikia mtu bastola wala bakora,...
kama ni kweli huyo jamaa aliwafanya mabinti wote hao, basi hao mabinti nao ni wajinga tu. Kama walikuwa wanamjua jamaa ni promiscuous hivyo ni nini sasa walichokuwa wanakipapatikia kutoka kwake? Vigari vyekundu? Ujinga mtupu....
Mwananchi Read NewsHATIMAYE aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi (DPA) katika Benki Kuu Tanzania (BoT) Amatus Liyumba, amepata dhamana ya Sh882milioni, huku serikali ikilalamika nje ya mahakama kutoridhika na hatua hiyo.
Dhamana hiyo ni thamani ya nyumba yake iliyoko Mbezi Juu jijini Dar es Salaam.
the bottom line is.... even if they are positive, whats the big deal? its their personal life and i dont think we have a right to discuss it over here.
some people will argue that the list is for awareness and I say crap...
people should take precations regardless...
ivi huyo alietoa list Kapima?
Kati ya wote tuliochangia hapa kuna anayejua kwa uhakika wa asilimia 100 kuwa Liumba ni muathirika au ndio mambo ya Chinese Whisper?
NB:Jamani orodha ni ndefu mno kama unafahamu wengine ongezea kwa muda wako, sasa hawa mademu wengi wao walikuwa wanazunguka kwa mapedeshee na watu wenye pesa Dar baadhi yao ni:
1.Zadoc.
2.Mlatie (Mwenye Rose Garden pale Mikocheni Majimachafu).
3.Mujuni (wa EPA).
4.Lawrence Masha (Waziri wetu wa Mambo ya Ndani).
5.Cisco Mtiro (Aliyekuwa Mkuu wa Itifaki Ikulu kazi ipo).
6.Papaa Msofe.
7.Jack Pemba.
8.Bashir Awadh (MD wa Stanbic Bank kama sikosei).
9.Ray (wa Regency Hotel).
10.Kinjekitile Ngombale Mwiru.
11.Alex Massawe.( mwenye A.M. Investment).
12.Mudhamil(kampani ya akina Msofe).
13.Crecensious Magori (Jamaa wa NSSF).
Ndio.....wewe unakwendaga kumbe kwenye sayari nyingine? sikujua.....nimekusomaumewahi kukutana na kila bubu hapa duniani au sayari ingine?
...dah, Next Level mbona huna huruma hivyo? 'Babu' is Innocent until proven Guilty.
Kwani na yeye alisema hata tukila majani powa tu almuradi BOT inajengwa twin towers?
Mbona yule mzee wa Rombo mmekubali atoke kwa dau dogo ingawa alitukebehi hata tukila majani powa tu almuradi Mkapa anunuliwe ndege?
Halafu hao kina dada walotafunwa bila hata kujali usalama wao WALIBAKWA au walikwenda kwa tamaa zao? Mbona sijaona hata mmoja kamfungulia kesi ya madai huyu mdingi? ...tena ndio kwanza kuna wengine wanamsifia kwa jinsi alivyokuwa anawananihii vizuri!... Walijipendekeza wenyewe!
Aaaah, acheni hizo 'Mob Justice!' Mzee wa mahenge hakumshikia mtu bastola wala bakora,...
FREE THIS MAN NOW (with a lenient bail conditions) sio kumpeleka mahakamani halafu visingizio oooh, faili limecheleweshwa, Frustrations zote za nini hizo?
... justice delayed is the justice denied!!!!!!!!!!