Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Hahah..... Daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Leo Baba swalehe[emoji3] [emoji3] hata sikumbukii kama nishawahi kumiliki[emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah..... Daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Leo Baba swalehe[emoji3] [emoji3] hata sikumbukii kama nishawahi kumiliki[emoji12]
Kabisa wanawake tuna kazi , bado hatujasuka hapo
Kama wanaume wangekuwa adimu kusingekuwa na kuuana mara magunia ya mkaa, ingekuwa pyeee unasepa unaibuka na mwingineMwanaume ni bidhaa adimu sana. Hiyo yote wanafanya kwa kutufurahisha sisi. Watu mpaka wanaongeza makalio unafikiri mchezo
Kwani unayo?Mmmh ,hatari na madhara yake je? Au ndyo matokeo kwanza,madhara baadaye doh,siwezi kutumia hata Kwa fimbo, bora kuonekana sina tu
Hupendi wanangu eeh, basi na ukinizingua nawaita vidume wangu wakudundee[emoji3]aaahh hilo tatizo sasa!!..
Na mlivyokuwa wengi sasa.
Kwa uzoefu wangu tofauti ni ndogo sana. Kilio cha vibamia kinaletwa na nini?Mkuu, usifananishe elasticity ya vitu vingine na hicho kitu, Mungu fundi ujue hii lastic yake ni og [emoji3]
Kama wanaongeza makalio, kwa nini wasifanye sehemu hiyo kuwa kama mpya?Dah! Wanaume tunakazi yani kiwanda kimekaa kuchakata hiyo midawa wakafungasha mpk kufika amazon watu wakanunua hii combination yote ni kumlaghai mwanaume kuwa mwanamke huyu ni bikra dah!! Hata dunia inatusaliti tena kuna mengine na mindevu yao imeshiriki ktk huu ukanjanja!! Wanawake tumewakosea Nini..?