Ambacho kingetokea Leo, angekuwa mtoto wa MAFIA

Ambacho kingetokea Leo, angekuwa mtoto wa MAFIA

Bashite angekuwa mtoto wa Don kwenye movie la Kimafia. Leo hii angeitwa sebuleni kwa mshua. Angepewa glasi ya mvinyo wangegonga cheers. Kisha mshua angemuambia *"Good Boy"* ...Baada ya hapo angepewa kipigo cha nguvu kinoma na kuambiwa *"Watoto wa Madon hawafanyi movie za kifala na kibwege kama hizo."*
mkuu katika kiwango chako umenitoa stress zote
 
Back
Top Bottom