FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
- Thread starter
-
- #121
[HASHTAG]#UsipateUkimwi2017[/HASHTAG]Huku Sinza kuna Guest gani nzuri?
Ndio ndio mkuu..Nina miezi mi3 sijazini na maisha yanaendelea... Nisuala la maamuzi Nakuja keep busy bila kusahau mazoezi.
Wewe sio mtu WA sport sport mkuu..Mkuu mim huu mwezi wa 4 sijafanya sex, nakumbuka kuna kipindi nilikaa miezi zaidi ya 6 without sex.
T Nat a struggle since ther z no one to resist.Kupanga Ni kuchagua
Haina hamu ya dushe jamani?[emoji1]ipo tu haina shida
Apana mkuu,na sijamaanisha tusifanye kbsa.ila tuwe waminifu Tu kwa wenzi wetuKwa namana ulivyoandika ni struggle!
haina shida ya madushe surualiHaina hamu ya dushe jamani?[emoji1]
Mkuu wengine tangu 2014 hatuja ona hiyo kitu!!Lengo Ni kupeana mbinu mbadala za kushnda matamanio japo vishawishi Ni vingi.Inawezekana bila ngono,inawezekana bila michepuko,Inawezekana bila Musterbation. [HASHTAG]#UsipateUkimwi2017[/HASHTAG] [HASHTAG]#UsipigeNyeto2017[/HASHTAG] [HASHTAG]#Usitoe0713[/HASHTAG]..
Je ina hamu ya dushe gani?haina shida ya madushe suruali
Hahaha sio kwel mkuu..Mkuu wengine tangu 2014 hatuja ona hiyo kitu!!
Mkuu ilo n tatizo,sijamaanisha tusifanye kabsa,km unamchumba,mke,mme nk bas uaminifu utawale mahusiano yenu.Na sio kutofanya kbsa.Plz jitasmini upyaMim nina miaka 8mpaka sasa sijafanya ngono
Hivi hatuwez survive bila ngono? Kweli? Au n ugumu upi huo unaomaanishaNgumu sana
Mkuu. Yaani usipofanya kwa muda mrefu chini panachemka na kuwasha kitandani kujigeuza hakuishi. Hapo lazima utafute ke na walivyowarahis siku hizi ni kuvuta tu na kumchapa nayoHivi hatuwez survive bila ngono? Kweli? Au n ugumu upi huo unaomaanisha
Zinasemaje/zikoje hizo records???Fanya maamuzi mkuu, Rekod za Ummy Mwalimu ni za kutisha
Mwenzako naogopa dhambi her nioe maana mim ndio ninayoibeba hiyo dhambiMkuu ilo n tatizo,sijamaanisha tusifanye kabsa,km unamchumba,mke,mme nk bas uaminifu utawale mahusiano yenu.Na sio kutofanya kbsa.Plz jitasmini upya