Ambao hatujaoa.. Ni kazi ipi unaichukia zaidi home..

Kupika aisee na kuosha vyombo usafi ni changamoto ndo maana nina panya wengi majiran wanajiuliza mbona hawaishi wakiuliwa na vyumba vya jirani bado wanakuja maana washatumia geto langu kama sehemu ya uzalishaj na usambazaj

Ila wanaheshima akija mchuchu hawatokei kabisa kunitunzia heshima
 
[emoji16][emoji16][emoji16]oa tu mzte
 
Aisee!
 
Ww sasa ni mchafu tu wa asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…