Ambao hatujaoa.. Ni kazi ipi unaichukia zaidi home..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umewasitiri na mnaishi kama marafiki ndo maana na wao wanakuheshimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tena ni adui zangu wakubwa wananitafunia nyanya zangu [emoji35]... Ila dawa yao nawaandalia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umewasitiri na mnaishi kama marafiki ndo maana na wao wanakuheshimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kila kitu mashine kasoro ya kuoshea vyombo kumbafu kwanini hawakugundua na kutengeneza?
 
Mi shida ni kuosha vyombo, kudeki na kutandika kitanda.

Kupika sio shida sana maana sipiki kama mwanamke eti vitu complicated na lazima nipike maana kula mgahawani ni mara moja1.

Kufua sio shida maana naweza kufua hata belo ila kuosha vyombo vingi siwezagi.

Kwa sababu sipendi kuosha vyombo vingi ilinibidi nivipunguze ili vikichafuka vyote viendelee kuwa vichache na uwezekano wa kuviosha kila siku ni 100% maana nisipoosha ntakosa vyombo vya kutia.
staki vyombo vingi ili nisivivundike vikichafuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…