Ambao hatujawahi kabisa kula chipsi tujuane hapa.

Ambao hatujawahi kabisa kula chipsi tujuane hapa.

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Chipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.

Pale nyumbani kwangu wanakula japo siyo mara kwa mara inaweza kupita zaidi ya miezi mitano ndiyo wanakula, wanajua kabisa kwakipika hii kitu baba lazima wamtafutie chakula kingine.

Je! Wewe ni mmoja wao ambao haujawahi kula hii kitu?
web-fish-chips.jpg
chipsi-mayai-d218f3e7-cfaf-4128-b781-8de356a585a-resize-750.jpeg
 
Chipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.

Pale nyumbani kwangu wanakula japo siyo mara kwa mara inaweza kupita zaidi ya miezi mitano ndiyo wanakula, wanajua kabisa kwakipika hii kitu baba lazima wamtafutie chakula kingine.

Je! Wewe ni mmoja wao ambao haujawahi kula hii kitu?View attachment 2223429View attachment 2223431
Huwa mnakula nini hapo kwako?
 
Ugali, wali, makande ndizi na vinginevyo
Wanao watakuwa vilaza maana wanakula wanga daily. Ugali ni wanga, wali ni wanga, makande ni punje za ugali mgumu ambazo ni wanga, ndizi ni wanga. Hayo makande labda yanakuwa na maharagwe ambayo ni protein source ndogo.

Chips ni wanga vile viazi, havina tofauti na makande yako hayo. Sana sana unajivunia kula mbegu zenye maji na chumvi. Nilichogundua ni kwamba hujui aina za virutubisho, tatizo lako sio chips ila ni elimu ya lishe
 
Wanao watakuwa vilaza maana wanakula wanga daily. Ugali ni wanga, wali ni wanga, makande ni punje za ugali mgumu ambazo ni wanga, ndizi ni wanga. Hayo makande labda yanakuwa na maharagwe ambayo ni protein source ndogo.

Chips ni wanga vile viazi, havina tofauti na makande yako hayo. Sana sana unajivunia kula mbegu zenye maji na chumvi. Nilichogundua ni kwamba hujui aina za virutubisho, tatizo lako sio chips ila ni elimu ya lishe
Muelezee
 
Back
Top Bottom