Ambao hatujawahi kabisa kula chipsi tujuane hapa.

Ambao hatujawahi kabisa kula chipsi tujuane hapa.

Wanao watakuwa vilaza maana wanakula wanga daily. Ugali ni wanga, wali ni wanga, makande ni punje za ugali mgumu ambazo ni wanga, ndizi ni wanga. Hayo makande labda yanakuwa na maharagwe ambayo ni protein source ndogo.

Chips ni wanga vile viazi, havina tofauti na makande yako hayo. Sana sana unajivunia kula mbegu zenye maji na chumvi. Nilichogundua ni kwamba hujui aina za virutubisho, tatizo lako sio chips ila ni elimu ya lishe
Ume owa au umeolewa?
 
Chips ni viazi vilivyo kaangwa usisahau hilo.

potato contains:

Calories: 265
Protein: 6 grams
Fat: 0 grams
Carbohydrates: 61 grams
Fiber: 4 grams
Sugar: 5 grams and more
 
Utakuta mleta mada nyumbani kwake anakula piza na baga lakini anaona chips ni mbaya. Na viazi mviringo anakula.
 
Chipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.

Pale nyumbani kwangu wanakula japo siyo mara kwa mara inaweza kupita zaidi ya miezi mitano ndiyo wanakula, wanajua kabisa kwakipika hii kitu baba lazima wamtafutie chakula kingine.

Je! Wewe ni mmoja wao ambao haujawahi kula hii kitu?View attachment 2223429View attachment 2223431
Si wanga tu kama ulivyo ugali sema tu hiki kimekaangwa. Hivyo kina faida zile za wanga mwilino, ikiwa chips yai inaambatana na protein, ukiongeza kachumbari utapata na vitamins humo humo. Faida ipo tu mkuu.
 
Chipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.

Pale nyumbani kwangu wanakula japo siyo mara kwa mara inaweza kupita zaidi ya miezi mitano ndiyo wanakula, wanajua kabisa kwakipika hii kitu baba lazima wamtafutie chakula kingine.

Je! Wewe ni mmoja wao ambao haujawahi kula hii kitu?View attachment 2223429View attachment 2223431
Sioni kama kuna chakula chenye shida duniani as long as kimeitwa Chakula, tatizo ni kwamba tunachokula kinalingana na utaratibu wetu wa maisha?
Mtoto wa kiume na unakuwa na ratiba kama za kike, safari ndogo tu bodaboda/bajaji/gari, huna ratiba ya kukutoa jasho hata moja isipokuwa joto la ndani au sex tu na yenyewe pia unafanya kwenye AC.
 
Ila nasikia chips hazina utamu wowote eti Ni kweli🤔
 
Chipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.
Binafsi nikiangaliaaaaaaaa, nikaaaangaliaaaaa huwa nahisi tumepigwa! tunapigwa

Nahisi kesi yooooote anayopewa chipsi, hata chipsi yai, hata chipsi kuku na nyama etc ni kwamba anaangushiwa jumba bovu.

Nahisi kesi yoooote ni kesi ya soda inayonywewa na hizo chipsi wala sio chipsi kama chipsi

Ndo maana nikijiskiaga mara moja moja nakulaga, nachagua yoyote nakula. Hadi chipsi yai nikijiskia kwani nini?
 
Back
Top Bottom