Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
- Thread starter
-
- #21
Ume owa au umeolewa?Wanao watakuwa vilaza maana wanakula wanga daily. Ugali ni wanga, wali ni wanga, makande ni punje za ugali mgumu ambazo ni wanga, ndizi ni wanga. Hayo makande labda yanakuwa na maharagwe ambayo ni protein source ndogo.
Chips ni wanga vile viazi, havina tofauti na makande yako hayo. Sana sana unajivunia kula mbegu zenye maji na chumvi. Nilichogundua ni kwamba hujui aina za virutubisho, tatizo lako sio chips ila ni elimu ya lishe
Hii ndo inaitwa Same shit different air freshener. Shida ya chips ni carbohydrate/sukari, na hivyo vyakula vyote hapo ni carbohydrate/sukari pia 🤣Ugali, wali, makande ndizi na vinginevyo
Zaidi ya wanga hivyo navyo havina faida yoyote mbona?Ugali, wali, makande ndizi na vinginevyo
Si wanga tu kama ulivyo ugali sema tu hiki kimekaangwa. Hivyo kina faida zile za wanga mwilino, ikiwa chips yai inaambatana na protein, ukiongeza kachumbari utapata na vitamins humo humo. Faida ipo tu mkuu.Chipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.
Pale nyumbani kwangu wanakula japo siyo mara kwa mara inaweza kupita zaidi ya miezi mitano ndiyo wanakula, wanajua kabisa kwakipika hii kitu baba lazima wamtafutie chakula kingine.
Je! Wewe ni mmoja wao ambao haujawahi kula hii kitu?View attachment 2223429View attachment 2223431
Sioni kama kuna chakula chenye shida duniani as long as kimeitwa Chakula, tatizo ni kwamba tunachokula kinalingana na utaratibu wetu wa maisha?Chipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.
Pale nyumbani kwangu wanakula japo siyo mara kwa mara inaweza kupita zaidi ya miezi mitano ndiyo wanakula, wanajua kabisa kwakipika hii kitu baba lazima wamtafutie chakula kingine.
Je! Wewe ni mmoja wao ambao haujawahi kula hii kitu?View attachment 2223429View attachment 2223431
Mmh sijui kwa nn tu lakini ni kama vile picha, jina, text vyote vinaashiria huyu n chips enthusiast😂😂. Sijui.Ila nasikia chips hazina utamu wowote eti Ni kweli🤔
😂😂😂😂Mmh sijui kwa nn tu lakini ni kama vile picha, jina, text vyote vinaashiria huyu n chips enthusiast😂😂. Sijui.
Binafsi nikiangaliaaaaaaaa, nikaaaangaliaaaaa huwa nahisi tumepigwa! tunapigwaChipsi ni chakula kisichokuwa na faida yeyote mwilini mwa mwanadamu, hakiongezi chochote zaidi ya kuusababishia mwili maradhi yasiyo na maana.
Njoo uonje hapaIla nasikia chips hazina utamu wowote eti Ni kweli[emoji848]
Wapi?Njoo uonje hapa