Ambao hatujawahi kunywa pombe au kuvuta sigara, tukutane hapa

Ambao hatujawahi kunywa pombe au kuvuta sigara, tukutane hapa

Mimi niliamua kuvuta bangi japo saivi sivuti ila sababu iliyonifanya nivute bangi ni mama yangu mzazi alinipigia simu akinipa taarifa kuwa dada yangu anavuta bangi amemkuta sebuleni ananyoga.

nilichomjibu maza ndo kilimshangaza nilimwambia na mimi lazima nivute bangi maana mwanaume mzima nimekaa tu halafu dada yangu ndo anakula kush,
Aka semaje Sasa??, Au uliona kipi Baada ya kuvuta 😆
 
Am not addicted to anything, that one strength i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...
Utakua malaya wa kupindukia
 
Back
Top Bottom