Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aka semaje Sasa??, Au uliona kipi Baada ya kuvuta 😆Mimi niliamua kuvuta bangi japo saivi sivuti ila sababu iliyonifanya nivute bangi ni mama yangu mzazi alinipigia simu akinipa taarifa kuwa dada yangu anavuta bangi amemkuta sebuleni ananyoga.
nilichomjibu maza ndo kilimshangaza nilimwambia na mimi lazima nivute bangi maana mwanaume mzima nimekaa tu halafu dada yangu ndo anakula kush,
Hakusema chochote ila alisikitika sana maama mimi ndo nilionekana kumshangaza kuliko sista, nilikula kush kuna mzuka flani hivi sijui kuuelezea ila I fell in love with indica,Aka semaje Sasa??, Au uliona kipi Baada ya kuvuta 😆
Utakua malaya wa kupindukiaAm not addicted to anything, that one strength i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...
Kwamba niko kinyume na jemedari😆😆
Sito wahi piga hiyo kitu 🤣Hakusema chochote ila alisikitika sana maama mimi ndo nilionekana kumshangaza kuliko sista, niliula kush kuna mzuka flani hivi sijui kuuelezea ila I fell in love with indica,
Kinachonichekesha nikajua urafiki wenu basi na wewe ni kaliba yake kumbe tofauti ila sasa ndiyo nimejua ni kweli ndege wafananao huruka pamoja kumbe hamkufanana kabisa .Kwamba niko kinyume na jemedari[emoji38][emoji38]
vijana wengi ambao hawataki pombe na sigara asilimia kubwa ni CHAPUTASito wahi piga hiyo kitu 🤣
Hapo hakuna ambacho sijatumia kuanzia bange, sigara, Energy drinks na pombe.Katika ukuaji wangu wote hadi leo, sija wahi kuvuta sigara au kunywa pombe.
👉Sio ushamba ila hivyo sio vipaumbele vyangu.
Vipi Kuna wenzangu na mimi??
View attachment 2893067View attachment 2893068View attachment 2893069
Absence of maliceI mean no malice to nobody
View attachment 2893072
Acha kujiaminisha ujingaUtakua malaya wa kupindukia
Kabisa yaani, Jamaica hahitaji passport😂Mzee wa shada huyo😄🤣
My favorite enemy🤒,Absence of malice
Dah we kiboko😆😆Hapo hakuna ambacho sijatumia kuanzia bange, sigara, Energy drinks na pombe.
Un ropoka upuuzi 🤔vijana wengi ambao hawataki pombe na sigara asili mia kubwa ni CHAPUTA
Mi na yeye ni mbingu na ardhi🤣😆Kinachonichekesha nikajua urafiki wenu basi na wewe ni kaliba yake kumbe tofauti ila sasa ndiyo nimejua ni kweli ndege wafananao huruka pamoja kumbe hamkufanana kabisa .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nalifanyia kazi pombe ina majuto mengi kuliko furaha nimekaa ndan kwa miaka kumi na 1nimeyabain hayo na siwez kunywa mdogo mdogoUna eza uka acha mkuu, though huwezi kuwa mpya.
[emoji117]Ila change zita onekana
Hahah.. kausha mkuuWakulungwa tumekuelewa😂
😂😂😂😂Mnakuwaga wambea wambea sana nyie na hamna michongo ya hela