Ambao hatujawahi kunywa pombe au kuvuta sigara, tukutane hapa

Cgara ambayo inawashwa mbele na nyuma mkuu na inachanganyiwaa Kwenye kutoa kitu Cha arushaaa kuletaa testa flaniiii mkuu pindi unavuta[emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi bangi mnazovuta mnachanganya na sigara kali ni za wap wakuu?
 
Dingi yako alikua mkatili
 
Mimi nimetumia Bangi,sigara,pombe
Nashukuru nlifanikiwa kuacha.Japo na jilaumu sana kwanini nlitumia haya mataka taka.Sasa naishi vizuri maisha ya furaha na pesa ina jaa kila kukicha.
Kwamba hivyo vitu ndio vilichangia kukuchelewesha kufanikiwa ?
 
Ulitaka kusemaje?
 
Ningekuwa sinywi pombe sijui ningekuwa nafanya nini kustarehe,

Nahisi nijgekuwa naboreka sana.
Nina mshikaji wangu yupo vizur kiuchumi sasa hatumii kilevi chochote,yeye akitoka kwenye mishughuliko yake muda wote yupo nyumban,huwa nahisi bado hajayaishi haya maisha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…