Ambao hatuna Magari tukutane hapa!

hiyo avata ya jani ikakuchanganya
 
This is one of the best thread ukiiangalia namna ilivyoandikwa.

Mwandishi ni mbunifu, hoja ni fikirishi, hususan kwa vile watu wengi hapa jukwaani wanajinasibu kuwa mambo safi. Ni mjadala mzuri na wanaotaka kujifunza wanaweza kujifunza hapa. Of course usafiri kwa kipindi ni miongoni mwa basic needs.

Tujadilini......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…