Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Acha uvivuNachofurahi tu leo ni Kutoenda Job
Ahsanteeee....
Hujalazimishwa mkuu...ni upumbavu wa kimo cha ukubwa wa goliati sina mda ndio kwanza najianda kwenda job
Hahaa nimrodi kawatia watu kanyaboya na mwanae tamuzi ... halafu waweza kukuta mwenyewe huko aliko hata hajui kinachoendeleatuko pamoja mm kwanza jana ndio nasikia et leo ndio chrismas kwakweli huu upuuzi wa nimlod unawasumbua san watu
MamboSema huna hela
umeona mkuu.. sijui kwanini inakuwa hivyo!!