Ambao hatuna muda na Christmas tukutane hapa...

Pamoja mkuu huyo yawezakuwa ni mfasi wa Divo pengin huwez kujua usifate maneno km hayo kws ushari lkn
 
Humu mnaotoa maneno ni waislam na wasabato na kiuhalisia xmass haiwahusu kwahyo naunga mkono hoja
 
Cheki mama huyo anaandaa ofisi yake ya kuuzia dagaa!! Asubuhi ya leo hii....

 
Kusherekea sikukuu ni utoto tu
 
Sijawahi kuwa na mzuka na sherehe kabisa aiseeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…