Mkuu upo mjini?Hauko peke yako!
Hapa Kiluvya nimewapita machizi wanafyatua tofali kama hawana akili nzuri!
To them Christmas is just another day.
Kwa namna hii lazma tuufikie ule uchumi wa viwanda
Sijawahi kuwa na mzuka na sherehe kabisa aiseeh.Wakuu kimsingi mimi huwaga sina muda na hizi sherehe... huwa nawashangaa sana watu wanapokosa usingizi kisa Christmas!!
Mbaya zaidi mtu hana hela na anataka asherekee sikukuu kwa mgongo wa mtu, sasa mtu kama hana hela si bora atulie tu kuliko kusumbua watu!!
Mpaka jana watu zaidi ya 10 wamepiga simu niwape hela, nikajisemea wancheza hawa... starehe za kwao alafu nizilipie mimi si majanga hayo?
Mi siku ya leo naendelea na kazi zangu kama kawaida...
Loh !! We kiboko unakula chakula na mpishi wake.Kama kawaida yangu nimeshavuta chombo nasubiri aje hapa apike pike then baada ya msosi nimle mpishi mpaka kesho
Hakika mkuuLoh !! We kiboko unakula chakula na mpishi wake.