General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
we kwann husherekei mkuu!!hata ,mimi sijawai
we kwann husherekei mkuu!!
mkuu kumbe tupo wengi!!Mimi mambo ya sherehe za kuzaliwa hapa hata wakati mwingine sikumbuki tarehe naona imepita.
mkuu mm hata kwenye grup la clas ikitokea mtu anasherekea huwa simpongeziYaani kama mimi, huwa sinaga hata habari labda mchuchu wangu anikumbushe. Sasa mtiti unatokeaga nikisahau siku yake ya kuzaliwa huwa hapakaliki. Huwa najiuliza kama yangu hata sikumbuki je nitakumbuka ya mwenzangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kupotezeana muda tu. Haya mambo yanapendeza kwa watoto sio sisi wahengamkuu mm hata kwenye grup la clas ikitokea mtu anasherekea huwa simpongezi
isitoshe unakuwa umezungukwa na wadau wa kike na kiume wanakuimbia huku unelifungua domo unasubiri kulishwa keki hepibesdei tuyuuu!yani na mindevu yangu naanza kupuliza mishumaa sijui kumwagiana maji na kulishana keki mmmh!!!
afu wengi ni wanaume laini sijui!!Wakuu hata mimi huwa sioni umuhimu wa simu hii! Kwa watoto sawa lakini dume zima unakuta, "Leo birthday yanguu". Mimi toka zamani sina mshawasha nazo kabisa!
hahahaaisitoshe unakuwa umezungukwa na wadau wa kike na kiume wanakuimbia huku unelifungua domo unasubiri kulishwa keki hepibesdei tuyuuu!
hepibesdei tuyuuu!
auoda yuu na!
hapana aisee..