General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Wakuu, sijui ni mimi mshamba au uhafidhina unanisumbua.
Yani kwanza naona ambao husherekea sikukuu hasa wanaume ni kama walaini vile au hujifanya maisha ya kizunguu.
Kwanza siku yenyewe ya kuzaliwa huwa inapita bila hata kushtuka, nikija kukumbuka labda nikute mtu kaweka status, na inaweza pita mwezi ndo nakuja shtuka imepitiliza.
Najiuliza sijui ni mimi tu au kuna wadau kama mimi?
General Mangi
Yani kwanza naona ambao husherekea sikukuu hasa wanaume ni kama walaini vile au hujifanya maisha ya kizunguu.
Kwanza siku yenyewe ya kuzaliwa huwa inapita bila hata kushtuka, nikija kukumbuka labda nikute mtu kaweka status, na inaweza pita mwezi ndo nakuja shtuka imepitiliza.
Najiuliza sijui ni mimi tu au kuna wadau kama mimi?
General Mangi