Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hahaha unaona sasa mambo yako? Una upendo nusu...sisi wenyewe walikuwa wanabana, kama ametoroka atakula hukohuko...kwanza sisi hakuna mtu alikuwa anaenda mjini halafu atake kuekewa chakula cha shule, siku ukienda mjini ndio siku ya kuchange diet mambo ya kuja kuchafua tena utumbo inahusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugali nilikuwa naweza kumwekea, ila wali no.
Sisi ilikuwa hakuna kumchukulia mtu labda awe na ruhusa na mnaenda kwa mwalimu wa zamu kwamba huyu atanichukulia chakula.
Sent using Jamii Forums mobile app