Ambao mlishawahi kudate na watu wenye ulemavu tupeni uzoefu

Ambao mlishawahi kudate na watu wenye ulemavu tupeni uzoefu

Kuna jamaa fulani yeye kaoa mlemavu halafu akachepukia Kwa mlemavu.

Ni halisi kabisa.

Sasa watu wakajiuliza na kusema kwa vyovyote vile jamaa itakuwa kuna Siri ya ajabu ameigundua kwa hao watu!

Tena ni huku maeneo ya Morogoro!
 
Mimi nilishawahi kudate na bubu,afu huyo demu alikuwa hatari Sana.Mtoto mweupe mixer uno la kuzugia.

Suala la mechi Nilikuwa namuomba direct Yaani sipindishi pindishi,Nilikuwa namfanyia ishara za kuonesha kwamba nataka tus*x afu alikuwa anaelewa Sana Tena anacooperate faster.Kiukweli Nilikuwa naenjoy Sana penzi la hyo dada japo tulikuwa tunafanya kwa Siri ili tusije tukastukiwa.
 
Albino wana joto sio poa,pale udbs kalikuwepo kamoja nilikua nakatafuna kisirisiri bila raia kunishtukia.
 
Back
Top Bottom