princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Mi naona kama ndio yatakayonikuta mbeleni.
Napenda urafiki ila urafiki siuwezi.
Huwa nakuaga rafiki wa faida sana ila sasa unakuta mwenzangu nikimchunguza naona kama shobo zimezidi upande wangu.
Na hakuna kitu sikipendi kama kuwa faida anapata yeye/wao mimi faida sipati
Kingine watu wakikujua jua sana nalo ni tatizo! Heshima inaoungua sana
Kinachobaki unakua tu na wale watu ambao unafahamiana nao ila siku likikukuta jambo kwakweli hamna wa kukukimbilia.
Najiona ntakavyokua kama FINCH
Napenda urafiki ila urafiki siuwezi.
Huwa nakuaga rafiki wa faida sana ila sasa unakuta mwenzangu nikimchunguza naona kama shobo zimezidi upande wangu.
Na hakuna kitu sikipendi kama kuwa faida anapata yeye/wao mimi faida sipati
Kingine watu wakikujua jua sana nalo ni tatizo! Heshima inaoungua sana
Kinachobaki unakua tu na wale watu ambao unafahamiana nao ila siku likikukuta jambo kwakweli hamna wa kukukimbilia.
Najiona ntakavyokua kama FINCH