Ambao tuna matukio ambayo hatutayasahau hadi kifo tukutane hapa

Ambao tuna matukio ambayo hatutayasahau hadi kifo tukutane hapa

Kipunga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2021
Posts
264
Reaction score
590
Wazee shkamoni vijana mambo vp naomba moja kwa moja niende kwenye mada.

Sitasahau nilivyopewa kesi ya wizi pale ccm kilumba Mwanza wakati wa kuaga mwili wa mzee magufuli ilikua hivi.

Siku hio nimefika uwanjani mapema mida ya saa1 za asubui nikakaguliwa kama kawaida nikaingia ndani basi nikatafta sehemu ya kukaa nikakaa nilikua mwenyewe tu.

Basi tumekaa pale mida ya saa nne mwili wa magu ukawa umewasili vilio vikatawala hadi wengine kuzimia.utaratibu yakuaga ukaanza viongozi wakawa wanaaga walipomaliza mc akatangaza kwamba wananchi hawataweza kuaga kama walivyo aga watu wa dar es laam akasema mwili utazungushwa mara tano pale uwanjani.

Basi jukwaa nililo kuwepo watu wakapaniki sana na wengine waka anza kushuka basi na nikaanza kushuka kufika kwenye geti la jukwa nikakuta kuna vurugu sana watu wanataka kushuka.

Na mim nikajipenyeza hadi katkat nikawa nimesimama nyuma ya mzee wa makamo pia ni shomeshombe wa kiarabu.

Kama dakika mbili hivi nikaona yule mzee kageuka na kujishika mifukoni palepale akasema kijana naomba pesa zangu na simu
Sijakaa sawa mzee kanikwida anasema umeniibia kijana naomba pesa zangu. Nikamwambia mzee mim sijaiba hata unisaki mzee anasema utawataja wenzio tuu bac muda ule geti likafunguliwa watu wakatawanyika mzee kanipeleka kwa mwnajeshi.

Mjeda akaskiliza akasema nenda kwa huyo.mzee akanivuta hadi kwa polisi akamwambia huyu ni mwizi ameniibia palepale nikaambiw kaa chini askari wanazidi kuongezeka pale mmoja akanizaba kibao cha shavu.

Wakamuuliza mzee una usafiri! Mzee akasema ee nina gari basi nikapigwa pingu nishikwa mkubeto hadi nje ya uwanja yule mzee alikua na gari aina ya hilux nyeupe nikaingizwa ndani ya gari hadi central police Mwanza nikawekwa ndani.

kufupisha story yule mzee tumemlipa milioni 3 na polisi laki1 hapa ninapoongea ndio nimetoka kama wiki moja sasa.

Lengo la uzi huu na wewe naomba usimulie kitu ambacho huta sahau asanteni bandugu.
 
Umekubalije kulipa kirahisi hivyo wakati hujuiba kweli? Ungesema wafungue kesi iende mahakamani kama kweli uliiba, Hata hivyo unaweza kuona uliepusha tatizo kukubali kulipa lakini umedhulumiwa haki yako.pole kwa kupatwa na seke seke hilo,Duniani hakuna ambae haana uwezekano wa kupatwa na lolote.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sikuiba ila yule mzee alikua anapesa kwaiyo asilimia ya mimi kwenda jela ilikua kubwa sana
Hapana kwakweli umejizingua kwanini usingekubali ishu iende mahakamani??

Kufungwa kupo ila sio kirahisi namna hiyo

Nani anayetembea na mil 3 kwenda uwanjani kuaga marehem ? Sema Polisi wanajua sana kufix wakishakuweka 18 zao waliwatisha hapo mkajaa
 
Umekubalije kulipa kirahisi hivyo wakati hujuiba kweli? Ungesema wafungue kesi iende mahakamani kama kweli uliiba, Hata hivyo unaweza kuona uliepusha tatizo kukubali kulipa lakini umedhulumiwa haki yako.pole kwa kupatwa na seke seke hilo,Duniani hakuna ambae haana uwezekano wa kupatwa na lolote.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Labda kutokujua sheria ila mzee alikua anaonekana ana pesa kiasi kwamba ma polisi walikua wakiongea nae kwa heshima sana
 
Yaani mzee madai yake alikuwa na milioni 3 kazitia mfuko wa nyuma wa suruwali? Zilikuwa kwenye dola au shilingi?
 
Yaani mzee madai yake alikuwa na milioni 3 kazitia mfuko wa nyuma wa suruwali? Zilikuwa kwenye dola au shilingi?
Alisema alikua na simu aina ya samsung ya laki 7 na pesa za kitanzania milion na lak tatu
 
Wazee shkamoni vijana mambo vp naomba moja kwa moja niende kwenye mada .....

Sitasahau nilivyopewa kesi ya wizi pale ccm kilumba Mwanza wakati wa kuaga mwili wa mzee magufuli ilikua hivi...

Siku hio nimefika uwanjani mapema mida ya saa1 za asubui nikakaguliwa kama kawaida nikaingia ndani basi nikatafta sehemu ya kukaa nikakaa nilikua mwenyewe tu

Basi tumekaa pale mida ya saa nne mwili wa magu ukawa umewasili vilio vikatawala hadi wengine kuzimia.utaratibu yakuaga ukaanza viongozi wakawa wanaaga walipomaliza mc akatangaza kwamba wananchi hawataweza kuaga kama walivyo aga watu wa dar es laam akasema mwili utazungushwa mara tano pale uwanjani

Basi jukwaa nililo kuwepo watu wakapaniki sana na wengine waka anza kushuka basi na nikaanza kushuka kufika kwenye geti la jukwa nikakuta kuna vurugu sana watu wanataka kushuka

Na mim nikajipenyeza hadi katkat nikawa nimesimama nyuma ya mzee wa makamo pia ni shomeshombe wa kiarabu

Kama dakika mbili hivi nikaona yule mzee kageuka na kujishika mifukoni palepale akasema kijana naomba pesa zangu na cm
Sijakaa sawa mzee kanikwida anasema umeniibia kijana naomba pesa zangu. Nikamwambia mzee mim sijaiba hata unisaki mzee anasema utawataja wenzio tuu bac muda ule geti likafunguliwa watu wakatawanyika mzee kanipeleka kwa mwnajeshi

Mjeda akaskiliza akasema nenda kwa huyo.mzee akanivuta hadi kwa polisi akamwambia huyu ni mwizi ameniibia palepale nikaambiw kaa chini askari wanazidi kuongezeka pale mmoja akanizaba kibao cha shavu

Wakamuuliza mzee una usafiri! Mzee akasema ee nina gari basi nikapigwa pingu nishikwa mkubeto hadi nje ya uwanja yule mzee alikua na gari aina ya hilux nyeupe nikaingizwa ndani ya gari hadi central police Mwanza nikawekwa ndani

kufupisha story yule mzee tumemlipa milioni 3 na polisi laki1 hapa ninapoongea ndio nimetoka kama wiki moja sasa.

Lengo la uzi huu na wew naomba usimulie kitu ambacho huta sahau asanteni bandugu......
Kwanza binafsi sipendi kabsa kwenda sehemu zenye mikusanyiko km hio wala sijui 9 December sijui sherehe za uhuru kwa sababu lolote laweza kuotekea, inapokubidi sana kwenda nenda na mwenzako alaf msivae kihuni jins za kuchanika chanika achana nazo piga tai
 
Back
Top Bottom