Mimi ilinitokea kama yako japo tofaut kidogo, kuna rafiki yangu alikua anasoma bweni shule tofaut siku moja akawa kamtapeli sim kiubabe mwanafunz mwenzake akanipogia cm kua anaomba niende akanikabidhi cm kwan walimu wangemkamata angekua matatizon mimi bila kujua ni nini kilikua kina endelea nikapanda gar mpka wilaya anakosomea nikaakutana nae akanipa cm akaniambia atakuja kuichukua wakat wa likizo me nikaondoka , kumbe yule rafiki ake aliekua amedhulumiwa sim akawa kashaelewa mchezo akaenda mpka stand akapanga gari ili anifatilie na mimi nikasimamisha gari alilopanda kisha nikapanda nikiwa ndani akananza kuni kwda kua nimemuibia cm abiria wote wakaanza kusapoti dereva kuona aepushe kesi na mabaya ambayo yangenipata kutoka kwa wananchi akageuza gari mpka kituo cha police na enzi cha wilaya ambapo hapo marehem baba yangu alikua ni askari hapo, ilikua ni mtihan sana kwangu lakini yule jamaa akasema ye haendi police km ameshapata cm hakuna haja