Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Waache wakiriri maishaHuu ndio ukweli Sasa, sio vijana wanakaa kutuletea hadithi hapa. Unaweza kumfikisha mwanamke Kila baada ya dakika 5. HILI NINA UHAKIKA NALO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wakiriri maishaHuu ndio ukweli Sasa, sio vijana wanakaa kutuletea hadithi hapa. Unaweza kumfikisha mwanamke Kila baada ya dakika 5. HILI NINA UHAKIKA NALO.
[emoji38][emoji38][emoji38] comment ya kibabe Sana hiiNimamaliza nguvu zangu bure kivipi wakati hela yangu amekula ? Si tulikubaliana ninayelipia ndiyo nifike kileleni au?
ASILIMIA kubwa Ni waongo, bao 5 haipoAliyewahi kupiga bao tano atoe ushuhuda
😁😁 unyama mwng nyonyoma mbin za kivita hzUchawi wa mwanaume kwa mwanamke upo wa aina 2 tu;
1. Pesa - Hii itamvuta aje kwako.
2. Kumfikisha Mlima Kilimanjaro - Hii itamfanya uingie moyoni kwake sana sana. Sasa ili umfikishe Kilimanjaro hapa inategemea na show yako.
Mwingine dakika 2, 3, 4 na wengine kwasababu za kimaumbile na kihisia hufika hata dk 15.
Kama utaweza kupiga magoli mawili non stop basi una possibility kubwa ya kuwafikisha Kilimanjaro zaidi ya 80% ya wanawake.
Ili ufunge magoli mawili double fanya hivi;
Cheza mpira taratibu ukikaribia kufunga ichomoe (Usiichomoe yote) bali iweke karibu na mlango then tulia kama sekunde 30-45 hivi bila kupiga push pump, na kama yeye anakatika mtulize asikatike. Utafunga goli ukiwa una nguvu za kuendelea kama zote, ukimaliza kufunga ingia tena ndani cheza sasa, hapa utatumia dk 3-5 utafunga goli jingine. Hapo itakuwa poa sana.
Usifanye kosa la kufunga goli la kwanza bila kumfikisha mwenzako Kilimanjaro. Unapopumzika na kitafuta la pili huwezi kumfikisha maana ni kama mmeanza upya. Unaweza kuwa umepiga 4 na yeye hujamfikisha Kilimanjaro inakuwa umemaliza nguvu zako bure.
Mimi kwa wife nikiweka sitoi mpaka aseme ok. Hapo sirudii tunalala.
Sure mkuu na kuongopeana ,bao tano kulisubir labd ukeshe na kuomba😅
Alikuumulia huyo .Kuna mjinga mmoja aliniletea msala, kaona mada insta "wanaume wote wanaounga la kwanza na la pili wataenda mbinguni moja kwa moja"
Si akanitag, michepuko yangu 2 ikaona ila hawajuani, mmoja adi leo ugomvi haujaisha.
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Ahahahahawewe utakuwa aidha ni Mzaramo, Mmakonda, mmawia, mkwere, mngindo, mmatumbi na watu kama hao
mchunguze sana kuna muhuni anakula mbususuDuh, mie wife wangu hawezi hizo kitu, ni mchovu sana kibonge wangu, ukimwaga cha 1, tayari anahema kinyama, cha pili hataki kusikia kabisaaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app