Ambao wameshakunywa bia kwa bei mpya ya punguzo, nyoosha mkono juu

Ambao wameshakunywa bia kwa bei mpya ya punguzo, nyoosha mkono juu

Ambakucha

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2019
Posts
317
Reaction score
520
Salamu wadau.

Kumekuwa na taarifa kwamba, kuanzia Julai Mosi, bei za bia zingeshuka, zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 1,500 zingeuzwa Tsh. 1,000. Zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 2,000 zingeuzwa Tsh. 1,500. Lakini mpaka Julai 2, baa nilizokaa 'kupata' bei ilikuwa ileile. Lakini vinywaji vya Spirit vimepanda. Je, kuna ambaye ameshakutana na bei ya punguzo ya bia?

Atupe mrejesho.
 
Hivyi jamani bado watu hamjui kwamba ulevi ni dhambi??? YESU anawaita awaokoe kuzimu na jehannum ya moto inatisha wapendwa tubuni baada ya kifo ni hukumu.

FB_IMG_1622219655501.jpg
 
Salamu wadau. Kumekuwa na taarifa kwamba, kuanzia Julai Mosi, bei za bia zingeshuka, zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 1,500 zingeuzwa Tsh. 1,000. Zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 2,000 zingeuzwa Tsh. 1,500. Lakini mpaka Julai 2, baa nilizokaa 'kupata' bei ilikuwa ileile. Lakini vinywaji vya Spirit vimepanda. Je, kuna ambaye ameshakutana na bei ya punguzo ya bia? Atupe mrejesho.
Mkuu umelewa?
 
Hii ndiyo Tanzania bwana, unaongea Bei ya fuel una shusha Bei ya pombe, that means tunaongeza idadi ya walevi kuliko kuliko wafanya kazi,
 
Shetani hapendi watu waende mbinguni, na kifo kitakuja mda wowote usioutarajia! Utakuwa mgeni wa nani, kwa huo ulevi, uzinzi, uasherati, ufisadi, wizi nk , tubu nafasi ingaliko
 
Salamu wadau. Kumekuwa na taarifa kwamba, kuanzia Julai Mosi, bei za bia zingeshuka, zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 1,500 zingeuzwa Tsh. 1,000. Zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 2,000 zingeuzwa Tsh. 1,500. Lakini mpaka Julai 2, baa nilizokaa 'kupata' bei ilikuwa ileile. Lakini vinywaji vya Spirit vimepanda. Je, kuna ambaye ameshakutana na bei ya punguzo ya bia? Atupe mrejesho.
Unawaamini CCM??
 
ivi kunywa bia kunawasaidia nini, si muache tuuu mnywe maziwa na asali!
 
Hivyi jamani bado watu hamjui kwamba ulevi ni dhambi??? YESU anawaita awaokoe kuzimu na jehannum ya moto inatisha wapendwa tubuni baada ya kifo ni hukumu.

View attachment 1838522
Jinsi wazungu walivyo kubrainwash hata hayo mapicha ya shetani yanaonyesha mtu mweusi zinduka usingizini wewe..hivi tangu dunia imeumbwa lini ulikuta dunia nzima ni watakatifu?? Watenda zambi wapo na wataendelea kuwepo ili wewe uendelee kuhubiri injili wakiokoka wote nani atamhubilia mwenzake.? Na wewe utapata wapi sadaka.?
#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shetani hapendi watu waende mbinguni, na kifo kitakuja mda wowote usioutarajia! Utakuwa mgeni wa nani, kwa huo ulevi, uzinzi, uasherati, ufisadi, wizi nk , tubu nafasi ingaliko
Amri za Mungu ziko 10, zinajulikana.
 
Hivyi jamani bado watu hamjui kwamba ulevi ni dhambi??? YESU anawaita awaokoe kuzimu na jehannum ya moto inatisha wapendwa tubuni baada ya kifo ni hukumu.

View attachment 1838522
😂 Hapo dhambi naona ni Kama tatu tu ushoga,uuwaji na fornicator hizo nyengine ni vile utakavyoyachukulia mambo hata kwenye biblia mvinyo ulitengenezwa sana tu! Internet wengine ni sehemu ya kipata sio wote wanatumia hovyo,uongo sometimes huwa unasaidia hata uhai wa mtu! Watu wengine ukiwaambia ukweli wanakufa.. mwisho wasiku itabidi utumie akili kutokana na situation iliyopo tu.. utajiri sio mbaya sema matumizi yako tu.
 
Back
Top Bottom