Ambao wameshakunywa bia kwa bei mpya ya punguzo, nyoosha mkono juu

Ambao wameshakunywa bia kwa bei mpya ya punguzo, nyoosha mkono juu

Jinsi wazungu walivyo kubrainwash hata hayo mapicha ya shetani yanaonyesha mtu mweusi zinduka usingizini wewe..hivi tangu dunia imeumbwa lini ulikuta dunia nzima ni watakatifu?? Watenda zambi wapo na wataendelea kuwepo ili wewe uendelee kuhubiri injili wakiokoka wote nani atamhubilia mwenzake.? Na wewe utapata wapi sadaka.?
#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu kuzimu ni halisi na mbingu ni halisi ni watakatifu tu wataiona, kabla ya kulaumu wazungu jiulize kwanza kama umewahi kulipia bili ya mwezi, jua, pamoja na hewa unayovuta ukikosa majibu amini kwamba kuna maisha baada ya kifo na njia pekee ni kumwamini Yesu hamna namna
Zaburi 16:3
Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, <br>Hao ndio niliopendezwa nao.
 
Write your reply...
Mhu waulize wenye ugonjwa wa kusukari kama wanatumia hivi vitu. Sana nawaona wanatumia beer serengeti lager.
 
Sio kweli mkuu kuzimu ni halisi na mbingu ni halisi ni watakatifu tu wataiona, kabla ya kulaumu wazungu jiulize kwanza kama umewahi kulipia bili ya mwezi, jua, pamoja na hewa unayovuta ukikosa majibu amini kwamba kuna maisha baada ya kifo na njia pekee ni kumwamini Yesu hamna namna
Zaburi 16:3
Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora,
Hao ndio niliopendezwa nao.
Wewe shida mfia dini..wazungu wamekuharibu akili na kamwe hawezi tengenezeka..ni kuulize kwanini shetani ni blak na yesu mweupe? Na mzungu?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizohizo amri za Mungu watu wanashingo ngumu hawati kuzitii, mtu hadanganyi lakini ni mdhulumaji mkubwa,
Ndiomana neema ya Yesu ikaingilia kati..huwezi kuwa mkamilifu huwezi fata sheria zote mana ukikosa kwa moja umekosa kwa zote..ndio mana nasema waislamu hawana tumaini zaidi ya kushika sheria ambapo kimsingi ni ngumu kushika sheria ili kuupata ukamilifu..mwanadamu ni mdhaifu kuangukia dhambini ni kugusa tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe shida mfia dini..wazungu wamekuharibu akili na kamwe hawezi tengenezeka..ni kuulize kwanini shetani ni blak na yesu mweupe? Na mzungu?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipoamini Mungu atabaki wa kuaminiwa, na maneno ya Mungu yanadumu milele na milele, baada ya kifo ndipo utakapoyakumbuka maneno yangu, Yesu anakupenda alikuja msalabani akakufia ili kukuokoa lakini usipoamini yeye anabaki Kuwa Mungu
Ufunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Ufunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na

FB_IMG_1619162055686.jpg


FB_IMG_1618937624443.jpg
 
Write your reply...
Mhu waulize wenye ugonjwa wa kusukari kama wanatumia hivi vitu. Sana nawaona wanatumia beer serengeti lager.
Ukitaka uzeeni uteseke na magonjwa ya kisukari,kansa ama presha..wewe kunywa sana pombe..chai..kahawa na vinywaji vya viwandani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiomana neema ya Yesu ikaingilia kati..huwezi kuwa mkamilifu huwezi fata sheria zote mana ukikosa kwa moja umekosa kwa zote..ndio mana nasema waislamu hawana tumaini zaidi ya kushika sheria ambapo kimsingi ni ngumu kushika sheria ili kuupata ukamilifu..mwanadamu ni mdhaifu kuangukia dhambini ni kugusa tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya neema ni kutukataza dhambi , maana hatutamuona Mungu pasipokuwa wakamilifu
Tito 2:11
Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa;

Tito 2:12
nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa;
1 Petro 1:14
Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;

1 Petro 1:15
bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote;

1 Petro 1:16
kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

1 Petro 1:17
Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, enendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.

1 Petro 1:18
Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;

1 Petro 1:19
bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.

FB_IMG_1618547124428.jpg
 
Back
Top Bottom